Maisha ya ubachela

Maisha ya ubachela

yaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Ni maneno ya kweli hayo? Mbona taarifa zilizopo masponsor wamepotea kutokana na ukata uliopo
Siku hizi upate kidogo au upigwe saund wajanja wale halafu wakimbie
 
Wee tangazo liko wapi?? Acha mambo yapo wewe mabwana kibao Ninao ndo nataka nifanye uamuzi tehteh
Uamuzi wako kati ya hao wengi wataka uchague anaetoa zaidi mbona wasema wataka kufanya uamuzi bado hujafanya tu
Mchagua sana nazi hupata .......
 
Back
Top Bottom