Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Si nikikuomba ukanijibu njoo uchukue Sa nikija hapo ndo uuwii!
kwani wewe mtoto?Kubali wito kataa neno....Haa mi ndo atanipata kirahisi??????!??? Sio kila anaekuchekea amefurahi nawewe!
Tatizo nn usiolewe una kasoro gan, Ila pia isiamini mwanaume eti ndo solution ya Maish yako, jitume je Suki akifulia huyo mwanaume si utamkimbia? Na utakimbia wangapi?????Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.
Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Shitttyaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Sawa tangazo lako limeeleweka madam, watakuja tu inboxHivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.
Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Fuata Nyayo Za Miss Natafuta Kama Njia Mbadala Yenye Faida Zenye Hasara.Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.
Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.