Maisha ya ubachela

Maisha ya ubachela

ujatatua tatizo kama yasingekuwa magumu ungebaki na msimamo wako kuwa bachera.pigania maisha ujatengeneza maisha ya ndoa hapo unataka wa kukusaidia
 
kama watu wangekuwa wanaolewa kwa sababu za kukwepa majukumu hakika watu wengi wangekua wameshaolewa mpaka muda huu kwenye ndoa kuna vitu vingi kuna muda mnalala njaa inabaki kuwa siri ya ndani na usijipe moyo kuolewa ndio solution!
hakika walio kuwa kwenye ndoa watapita humu na kukupa mwangaza zaidi
 
Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.

Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.

Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Tatizo nn usiolewe una kasoro gan, Ila pia isiamini mwanaume eti ndo solution ya Maish yako, jitume je Suki akifulia huyo mwanaume si utamkimbia? Na utakimbia wangapi?????
 
Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.

Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.

Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Sawa tangazo lako limeeleweka madam, watakuja tu inbox
 
Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.

Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.

Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Fuata Nyayo Za Miss Natafuta Kama Njia Mbadala Yenye Faida Zenye Hasara.
 
Back
Top Bottom