Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
- Thread starter
- #221
Asante sana hii post yako imenigusa kumoyo, naomba waelezee wengine wasiojua nguvu ya mwanamke endapo tu atakuwa mtiifu kwa mwanaume wake! Wengi wanachemsha kwa kujitia u much know usio na msingi ndio maana tunawachezeaga tu sababu hawatulizi akili.
Binafsi mpenzi wangu nazidi kumpenda kila kukicha coz hawezi fanya maamuzi yoyote bila kunishirikisha and i really love it. I believe she will make a very great wife kwa mtu atakaemuoa hata incase ikitokea tumeachana mbeleni huko!
For now hawezi kuomba kitu nikamnyima kabisa na hio ipo automatically coz ni mmtiifu sana na anatambua uwepo wangu na anaijua nafasi yake.
Excellent!!!!