DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 878
- 2,429
TRUE STORY
Hello members nipo hapa kushare true story inayonihusu mimi na mrembo wangu tuliopendana sana na jinsi tulivoishi kwa miaka mi3 morogoro mjini na mpka tulipoishia. Karibuni.
Nitakuwa natumia codes za aina tofauti kulingana na ambacho nitatakiwa kuhide na mm nitatumia jina Camavinga na mwenzangu nitamuita Corazon
Episode 1
ilikua mwaka 2017 nilipojiunga chuo kikuu X mkoani morogoro kipindi hicho nikiwa chalii mwenye miaka 19.
Nilichaguliwa pale kusomea Bsc Education Chem na Bios so mimi ni teacher na mwenzangu pia alikua anasoma the same course na yangu.
Kwetu ni mkoani tabora na Corazon kwao ni Singida so yeye ni Mnyaturu lakini mimi binafsi ni mtusi.
Unaweza jiuliza tabora na watusi wapi na wapi but actually mother ni mchaga from moshi na father in foreigner ana asili ya Ethiopia na Rwanda so mkoani tabora alikua kikazi tu.
.......continue.....
Ni mwaka 2017 ndo tulianza 1st yer ilikua Nov baada ya registration niliappy na hostel nikatapata. Tulianza masomo huku tukianza kutafuta marafiki wapya na kuzoea mazingira pia na kadri siku zilivokua zinasonga tulizidi kufahamiana na kuzoeana zaidi na zaidi.
Nakumbuka ilikua mwez Dec kuna mwenzetu (classmate) alipatwa na msiba alifiwa na mazaaake na kama darasa chini ya CR wetu tuliorganize tumchangie chochote kitu kama rambirambi.
Kipindi CR anawasilisha wazo hilo katika group kuna baadhi ya watu walikataa na wengine tuikubali. Kuna msela mmoja alitoa jibu kali na la hovyo na huyu ndo alisababisha mimi nikampata binti mrembo wa kinyaturu (Corazon).
Jamaa: CR sisi tumekuja kusoma hapa chuoni hayo maswala mengine peleka kanisani huko ndo watamchangia. Hili ndio lilikua jibu la huyo mshenzi
Niliingiwa na hasira na nikajikuta namjibu yule jamaa jibu la fasta.
Camavinga: Bila shaka wewe hukuzaliwa bali ulitoka tu sehem isojulikana na ukajikuta tayar upo duniani na pia inaonekana una roho mbaya sana.
Watu wengi sana walinisapot na kuthamini sana nilichomjibu yule jamaa na hata wengine walinifata inbox kutaka tufahamiane zaidi. Na baadhi ya walonifata inbox na huyu mrembo Corazon pia alikuwemo.
Corazon: Hello mambo vipi! Nimependa sana ulimjibu huyo mpuuzi.
Camavinga: Asante! Actually jamaa kazingua sana na binafsi nilikosa uvumilivu
Corazon: Nimependa kiukweli maana ukizingatia jambo lililompata mwenzety ni zito na anahitaji faraja yetu kama wanafunz wenzake.
Hii kauli ilinifanya nianze kumuona huyu binti ni mtu mwenye huruma sana.
Camavinga: True kabisa unavoongea na nimependa unaonekana mwenye huruma sana na mwenye busara.
Corazon: Hapana hiko kitendo cha huyu mpuuzi ni cha kijinga sana na mtu yeyote mwenye akili timamu ni lazima angeona kuwa ni upuuzi huyu mtu kaongea.
Camavinga: Upo sahihi nadhani tutamchangia rambirambi lakini pia tutatafuta muda kama darasa tumfariji kwa namna tutakavoweza.
Hii time tunachat tulikua hatujuani kwa majina wala kwa sura.
Tulizidi kuchat na mwishoni tukabadilisha mada tukafikia mpka kuhitaji kufahamiana na tukatumiana picha na kutambulishana kwa majina. Katika kuhojiana ilionekana sote tunakaa hostels zilizopo katika unit moja (kwa walosomea chuo hiki washajua ni chuo gani mpka hapa)
Binafsi baada ya Corazon kunitumia picha alituma picha yenye waschana wa2 mmoja mnene mfupi na mwingine mwembamba sana then mrefu kidogo. Ikanibidi niulize yeye ni yupi na akanambia kuwa yeye ni yule alokua mwembamba. Baada ya kuiona picha na kumuona nilipatwa na kigugumiz kidogo maana kwa muonekano wake mtu yeyote lazima angejiuliza huyu binti anashida gani ya kiafya maana alionekana kuwa mwembamba sana halafu mdhoofu lakini sura na rangi vilikua sawa si haba. Kwa anayewafaham watu wa singida, dodoma na manyara bila shaka ashaelewa Corazon n mtu wa aina gani.
Corazon alionekana kupatwa na shauku ya kutaka kuonana na mimi baada ya mimi kumtumia picha ni kama alidata kwa mjuba (sijisifii).
(Kama nilivowambia mwanzo kuwa father anauethiopia na unyarwanda flan ambao kuturithisha watoto yake maana kwanzia kimo, weusi wakitusi na nywere za kisomali somali kwa mbali kwahiyo ni kama Corazon alivurugika kidogo)
See you in the next episode..........
Post in thread 'Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro' Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro
Hello members nipo hapa kushare true story inayonihusu mimi na mrembo wangu tuliopendana sana na jinsi tulivoishi kwa miaka mi3 morogoro mjini na mpka tulipoishia. Karibuni.
Nitakuwa natumia codes za aina tofauti kulingana na ambacho nitatakiwa kuhide na mm nitatumia jina Camavinga na mwenzangu nitamuita Corazon
Episode 1
ilikua mwaka 2017 nilipojiunga chuo kikuu X mkoani morogoro kipindi hicho nikiwa chalii mwenye miaka 19.
Nilichaguliwa pale kusomea Bsc Education Chem na Bios so mimi ni teacher na mwenzangu pia alikua anasoma the same course na yangu.
Kwetu ni mkoani tabora na Corazon kwao ni Singida so yeye ni Mnyaturu lakini mimi binafsi ni mtusi.
Unaweza jiuliza tabora na watusi wapi na wapi but actually mother ni mchaga from moshi na father in foreigner ana asili ya Ethiopia na Rwanda so mkoani tabora alikua kikazi tu.
.......continue.....
Ni mwaka 2017 ndo tulianza 1st yer ilikua Nov baada ya registration niliappy na hostel nikatapata. Tulianza masomo huku tukianza kutafuta marafiki wapya na kuzoea mazingira pia na kadri siku zilivokua zinasonga tulizidi kufahamiana na kuzoeana zaidi na zaidi.
Nakumbuka ilikua mwez Dec kuna mwenzetu (classmate) alipatwa na msiba alifiwa na mazaaake na kama darasa chini ya CR wetu tuliorganize tumchangie chochote kitu kama rambirambi.
Kipindi CR anawasilisha wazo hilo katika group kuna baadhi ya watu walikataa na wengine tuikubali. Kuna msela mmoja alitoa jibu kali na la hovyo na huyu ndo alisababisha mimi nikampata binti mrembo wa kinyaturu (Corazon).
Jamaa: CR sisi tumekuja kusoma hapa chuoni hayo maswala mengine peleka kanisani huko ndo watamchangia. Hili ndio lilikua jibu la huyo mshenzi
Niliingiwa na hasira na nikajikuta namjibu yule jamaa jibu la fasta.
Camavinga: Bila shaka wewe hukuzaliwa bali ulitoka tu sehem isojulikana na ukajikuta tayar upo duniani na pia inaonekana una roho mbaya sana.
Watu wengi sana walinisapot na kuthamini sana nilichomjibu yule jamaa na hata wengine walinifata inbox kutaka tufahamiane zaidi. Na baadhi ya walonifata inbox na huyu mrembo Corazon pia alikuwemo.
Corazon: Hello mambo vipi! Nimependa sana ulimjibu huyo mpuuzi.
Camavinga: Asante! Actually jamaa kazingua sana na binafsi nilikosa uvumilivu
Corazon: Nimependa kiukweli maana ukizingatia jambo lililompata mwenzety ni zito na anahitaji faraja yetu kama wanafunz wenzake.
Hii kauli ilinifanya nianze kumuona huyu binti ni mtu mwenye huruma sana.
Camavinga: True kabisa unavoongea na nimependa unaonekana mwenye huruma sana na mwenye busara.
Corazon: Hapana hiko kitendo cha huyu mpuuzi ni cha kijinga sana na mtu yeyote mwenye akili timamu ni lazima angeona kuwa ni upuuzi huyu mtu kaongea.
Camavinga: Upo sahihi nadhani tutamchangia rambirambi lakini pia tutatafuta muda kama darasa tumfariji kwa namna tutakavoweza.
Hii time tunachat tulikua hatujuani kwa majina wala kwa sura.
Tulizidi kuchat na mwishoni tukabadilisha mada tukafikia mpka kuhitaji kufahamiana na tukatumiana picha na kutambulishana kwa majina. Katika kuhojiana ilionekana sote tunakaa hostels zilizopo katika unit moja (kwa walosomea chuo hiki washajua ni chuo gani mpka hapa)
Binafsi baada ya Corazon kunitumia picha alituma picha yenye waschana wa2 mmoja mnene mfupi na mwingine mwembamba sana then mrefu kidogo. Ikanibidi niulize yeye ni yupi na akanambia kuwa yeye ni yule alokua mwembamba. Baada ya kuiona picha na kumuona nilipatwa na kigugumiz kidogo maana kwa muonekano wake mtu yeyote lazima angejiuliza huyu binti anashida gani ya kiafya maana alionekana kuwa mwembamba sana halafu mdhoofu lakini sura na rangi vilikua sawa si haba. Kwa anayewafaham watu wa singida, dodoma na manyara bila shaka ashaelewa Corazon n mtu wa aina gani.
Corazon alionekana kupatwa na shauku ya kutaka kuonana na mimi baada ya mimi kumtumia picha ni kama alidata kwa mjuba (sijisifii).
(Kama nilivowambia mwanzo kuwa father anauethiopia na unyarwanda flan ambao kuturithisha watoto yake maana kwanzia kimo, weusi wakitusi na nywere za kisomali somali kwa mbali kwahiyo ni kama Corazon alivurugika kidogo)
See you in the next episode..........
Post in thread 'Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro' Maisha ya miaka mitatu, Mtusi na Mnyaturu mkoani Morogoro