Hahahaah uswazi raha sana.!Kuna siku moja long time kitambo jamaa ameleta mdada poa ndani, asubuhi anamwambia hana pesa asepe. Mwe mwe dada aliliamsha 'wewe umekula mlango wa dharura kumbe huna pesa na mimi hapa sitoki. Humu ndani una redio cassette na jiko la tanalec kaweke rehani unipe pesa yangu'.
Kero ilikuwa kubwa mpaka mama mwenye nyumba kuingilia, shauri lilifika kwa mjumbe wa mtaa na wazee wakaitwa, Ilibidi wazee wachange pesa wampe jamaa kwa ahadi ya kuwa mwisho wa mwezi akipata mshahara atarudisha.
Uswazi hakuharibiki neno litawekwa sawa tu.
Hahahaah una rahaKwangu sihami mwanaume mwenyewe wanawake wa 3 nafuliwa,nadekiwa,napikiwa..nakugegeda juu hamna mwenye habari na mtu kila mtu na yake
Nimecheka sana,yani eti mlango wa dharula,dahKuna siku moja long time kitambo jamaa ameleta mdada poa ndani, asubuhi anamwambia hana pesa asepe. Mwe mwe dada aliliamsha 'wewe umekula mlango wa dharura kumbe huna pesa na mimi hapa sitoki. Humu ndani una redio cassette na jiko la tanalec kaweke rehani unipe pesa yangu'.
Kero ilikuwa kubwa mpaka mama mwenye nyumba kuingilia, shauri lilifika kwa mjumbe wa mtaa na wazee wakaitwa, Ilibidi wazee wachange pesa wampe jamaa kwa ahadi ya kuwa mwisho wa mwezi akipata mshahara atarudisha.
Uswazi hakuharibiki neno litawekwa sawa tu.
ndio raha yangu mkuuu...kuna siku nilikua nammendea mmoja sasa usiku joto limezidi natoka kupunga upepo namkuta na kikanga anaenda bafuni..masihara nikamwambia tukaoge wote...nilipiga viwili tukakatisha mechi maana utam haukinai...kuanzia hapo nikawa najilia bila hiyanaRAHA YA NYUMBA ZA KUPANGA 'MISAMBWANDA' INAPATKANA KIRAHISI.. UKIWA KIMEO UNAWEZA KUJIKUTA UMETEMBEA NA WANAWAKE WA NYUMBA NZIMA, KUANZIA WAKUBWA HADI WADOGO.
KIUKWELI USWAZI MAADILI YAMEPOROMOKA.
Of course maisha ya kuchanganyana huwezi kuwa mpweke, TV chumba cha jirani, mambo ya kushare moto , chumvi , mboga etc , sukari unapata mpaka vijiko 2 dukani pressure itoke wapi!Uzuri wa uswazi huwezi kuwa moweke hata kama hujaoabau kuolewa.
Ahaaaa sure mkuuu dah umenena sana na umeni kumbusha mbali sana...nilipanga chanika hizo zilikua pigo za wadada utaskia jirani kitasa kibovu njoo utupigie msumari,mara jirani chaga mbovu,ukishiwa maji uta ambiwa njoo jirani tunayo kwetu dah yale maisha na ya miss sanaUswazi kuzuri. Ukiwa bachelor wadada wa hapo nyumbani watajaza maji yakitoka na kukugongea kukuuliza kama umekula. Kazi hata za kugonga misumari zote zako. Mnh. Dawa yao ni kaondoka asbh sanaaaaa na kurudi usiku. I miss those days.
Ha ha ha ha ha kiulaini mkuu umejiopolea papuchi uswazi kuna mamboDah enzi nipo chuo nilipanga maeneo fulani hapa jijini, wapangaji tulikuwa wengi vyoo vichache. Sasa siku moja nikazama toilet, kumbe wakati naelekea toilet kuna binti nae alikuwa anakuja toi pia kwa hiyo nilimuwahi. Binti akabaki nje ya toi kunisubiria lkn kadri anavyosubiri kidume sikuwa na dalili ya kutoka. Uvumilivu ukamshinda akanigongea..
Binti: Kaka unatoka saa ngapi mwenzio nina haraka?
Mimi: Kama una haraka ingia tuoge wote [emoji4]
Dah kama utani bana binti akazama kweli mpaka ndani [emoji3] aisee siwaambii kilichotokea
Dah!!! Umenikumbusha mbali sana mkuu, nilipanga nyumba tupo wapangaji sita wasichana wa tano na wote wako single wote wazuri kishenzi. ilikuwa tamu sana iyo nyumba. Nilichokifanyaga sitokaa nikisahau. Nipo kwangu sasa ila sitosahau those days.Uswazi kuzuri. Ukiwa bachelor wadada wa hapo nyumbani watajaza maji yakitoka na kukugongea kukuuliza kama umekula. Kazi hata za kugonga misumari zote zako. Mnh. Dawa yao ni kaondoka asbh sanaaaaa na kurudi usiku. I miss those days.