Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

Mnaokaa nyumba za kupanga (shared) fahamu hili

INSONSILE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,937
Reaction score
2,891
Nakupa uzoefu na facts muhimu sana. Mimi sina historia ya kukaa nyumba ya kupanga ambayo ni ya kushare wapangaji wengi. Niliwahi kukaa kwa miezi 5 tuu kipindi naanza kazi kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo nikapata kazi nyingine nzuri zaidi nikahama mkoa kabisa, huko nikapata nyumba nzima tunashea watu wawili tuu. mwenzangu alikuwa anakaa mwenyewe familia yake ilikuwa mkoa mwingine. so nilienjoy utulivu mkubwa sana, hadi nilipohamia kwangu.

Sasa buana, nisikuchoshe. nimepata safari mkoani, ambayo nitakaa miezi 3 kwa ajili ya mradi fulani. Nikachanga karata zangu na wenyeji wa hapo ninapoenda, nikasema nitakuwa bwege nikikaa lodge kwa miezi 3. Mwenyeji wangu akaingia kusaka vyumba, nikapata chumba kimekaa design kama hostel, but so advanced kama apartment hivi. Kucheki, bei kitonga maana ni za taasisi flani. Jamaa alinikaribisha, kweli kuna vyumba vingi pale. Nilipoingia jamaa akanielekeza masuala ya maji ni bure, umeme ndo kila mtu anajinunulia wa kwake ukiisha. Kwa kuwa nilikuta umeme upo sikuhangaika, ila alinipa angalizo kuwa nikiona umeme umekatika kwangu na vyumba vingine unawaka, basi nijue wa kwangu umeisha ninunue. Maana wameweka sub-meters kila chumba. Nilikaa kama wiki 3, usiku saa 7 nikaona umeme umekatika kwingine unawaka. Nikaona hakuna haja kumsumua jamaa. Asubuhi ndo nikamcheki akanipa mwongozo nikajinunulia. nilinunua umeme wa 5000, nikapata 12.3 units. Matumizi yangu ni taa tuu usiku, feni mara chache, kuchaji simu na laptop, na kupiga pasi nguo. Leo ni siku ya 7 tangu nimeweka umeme, nimeshangaa nimekuta nimetumia unit 1.5 kwa wiki nzima. Kwa hiyo kwa muda wa wiki 4 nitakuwa nimetumia units 6 za umeme. kwa lugha nyingine, kwa Sh. 5000, napata umeme wa kutumia miezi miwili.

Sasa jiulizeni nyie mnaokaa vyumba vya kupanga, mpo wapangaji 6 wengine hadi 10. Mwenye nyumba anawaramba kila mmoja 10,000/- au 15,000/-kila mwezi umeme. wewe bachelor ndani hakuna unachotumia zaidi ya taa. kupiga pasi nguo yako moja kila siku, na kuchaji simu na laptop. Mnapigwa hela za bure au mnazidiana nyie wapangaji wengine wanatumia vitu vingi vinavyotumia umeme mwingi ila wewe usiye na vingi unawahudumia wengine. Nimependa sana huu utaratibu wa hawa jamaa kwa kweli laiti wapangaji wangejitambua nchi nzima mngewangembana wamiliki waweke submeters kila mtu anunue umeme anaoutumia. Haya mambo ya kuchangiana ni wizi mkubwa aisee.
 
Nakupa uzoefu na facts muhimu sana. Mimi sina historia ya kukaa nyumba ya kupanga ambayo ni ya kushare wapangaji wengi. Niliwahi kukaa kwa miezi 5 tuu kipindi naanza kazi kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo nikapata kazi nyingine nzuri zaidi nikahama mkoa kabisa, huko nikapata nyumba nzima tunashea watu wawili tuu. mwenzangu alikuwa anakaa mwenyewe familia yake ilikuwa mkoa mwingine. so nilienjoy utulivu mkubwa sana, hadi nilipohamia kwangu.

Sasa buana, nisikuchoshe. nimepata safari mkoani, ambayo nitakaa miezi 3 kwa ajili ya mradi fulani. Nikachanga karata zangu na wenyeji wa hapo ninapoenda, nikasema nitakuwa bwege nikikaa lodge kwa miezi 3. Mwenyeji wangu akaingia kusaka vyumba, nikapata chumba kimekaa design kama hostel, but so advanced kama apartment hivi. Kucheki, bei kitonga maana ni za taasisi flani. Jamaa alinikaribisha, kweli kuna vyumba vingi pale. Nilipoingia jamaa akanielekeza masuala ya maji ni bure, umeme ndo kila mtu anajinunulia wa kwake ukiisha. Kwa kuwa nilikuta umeme upo sikuhangaika, ila alinipa angalizo kuwa nikiona umeme umekatika kwangu na vyumba vingine unawaka, basi nijue wa kwangu umeisha ninunue. Maana wameweka sub-meters kila chumba. Nilikaa kama wiki 3, usiku saa 7 nikaona umeme umekatika kwingine unawaka. Nikaona hakuna haja kumsumua jamaa. Asubuhi ndo nikamcheki akanipa mwongozo nikajinunulia. nilinunua umeme wa 5000, nikapata 12.3 units. Matumizi yangu ni taa tuu usiku, feni mara chache, kuchaji simu na laptop, na kupiga pasi nguo. Leo ni siku ya 7 tangu nimeweka umeme, nimeshangaa nimekuta nimetumia unit 1.5 kwa wiki nzima. Kwa hiyo kwa muda wa wiki 4 nitakuwa nimetumia units 6 za umeme. kwa lugha nyingine, kwa Sh. 5000, napata umeme wa kutumia miezi miwili.

Sasa jiulizeni nyie mnaokaa vyumba vya kupanga, mpo wapangaji 6 wengine hadi 10. Mwenye nyumba anawaramba kila mmoja 10,000/- au 15,000/-kila mwezi umeme. wewe bachelor ndani hakuna unachotumia zaidi ya taa. kupiga pasi nguo yako moja kila siku, na kuchaji simu na laptop. Mnapigwa hela za bure au mnazidiana nyie wapangaji wengine wanatumia vitu vingi vinavyotumia umeme mwingi ila wewe usiye na vingi unawahudumia wengine. Nimependa sana huu utaratibu wa hawa jamaa kwa kweli laiti wapangaji wangejitambua nchi nzima mngewangembana wamiliki waweke submeters kila mtu anunue umeme anaoutumia. Haya mambo ya kuchangiana ni wizi mkubwa aisee.
Jamii Forum hakuna aliyepanga.

Humu wote tunaishi kwenye nyumba zetu za ghorofa zilizopo Mbweni,Masaki,Obey na Mikocheni.

Umeme tunaweka wa laki 2 tunatumia mpaka tunasahau.

Huo umeme wa elfu 5 hatukumbuki lini mara ya mwisho kununua.
 
Siku zote kwa kijana mdogo anayeanza maisha ningemshauri akae nyumba yenye ushindani wa maendeleo

Mwenzako ana friji nawe pambana unique.
Andover, sijui presha cooker nawe nunua. Anawashing machine nawe nunua.

Ligi za hivyo ndio nzuri sio ukae umerelax.

Kingine nashauri kijana popote ulipo hakikisha watu wanakulaumu na kukuonea wivu sio wewe ulalamike umeme sijui bla blah blah alafu mtoto wa kiume
 
Inaudhi kwa kweli, mtu umechanga umeme ununuliwe kisha ukasafiri, ile unarudi tu unakuta umeme umeisha unatakiwa uchange tena wakati zile unit ulizochanga hukuzitumia. Umeme wa nyumba za kupanga ni kero tu, mwendo ni kuburuzana tu
 
Inaudhi kwa kweli, mtu umechanga umeme ununuliwe kisha ukasafiri, ile unarudi tu unakuta umeme umeisha unatakiwa uchange tena wakati zile unit ulizochanga hukuzitumia. Umeme wa nyumba za kupanga ni kero tu, mwendo ni kuburuzana tu

Ukisafiri umeme kwani hautumiki kwako?
 
Nakupa uzoefu na facts muhimu sana. Mimi sina historia ya kukaa nyumba ya kupanga ambayo ni ya kushare wapangaji wengi. Niliwahi kukaa kwa miezi 5 tuu kipindi naanza kazi kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo nikapata kazi nyingine nzuri zaidi nikahama mkoa kabisa, huko nikapata nyumba nzima tunashea watu wawili tuu. mwenzangu alikuwa anakaa mwenyewe familia yake ilikuwa mkoa mwingine. so nilienjoy utulivu mkubwa sana, hadi nilipohamia kwangu.

Sasa buana, nisikuchoshe. nimepata safari mkoani, ambayo nitakaa miezi 3 kwa ajili ya mradi fulani. Nikachanga karata zangu na wenyeji wa hapo ninapoenda, nikasema nitakuwa bwege nikikaa lodge kwa miezi 3. Mwenyeji wangu akaingia kusaka vyumba, nikapata chumba kimekaa design kama hostel, but so advanced kama apartment hivi. Kucheki, bei kitonga maana ni za taasisi flani. Jamaa alinikaribisha, kweli kuna vyumba vingi pale. Nilipoingia jamaa akanielekeza masuala ya maji ni bure, umeme ndo kila mtu anajinunulia wa kwake ukiisha. Kwa kuwa nilikuta umeme upo sikuhangaika, ila alinipa angalizo kuwa nikiona umeme umekatika kwangu na vyumba vingine unawaka, basi nijue wa kwangu umeisha ninunue. Maana wameweka sub-meters kila chumba. Nilikaa kama wiki 3, usiku saa 7 nikaona umeme umekatika kwingine unawaka. Nikaona hakuna haja kumsumua jamaa. Asubuhi ndo nikamcheki akanipa mwongozo nikajinunulia. nilinunua umeme wa 5000, nikapata 12.3 units. Matumizi yangu ni taa tuu usiku, feni mara chache, kuchaji simu na laptop, na kupiga pasi nguo. Leo ni siku ya 7 tangu nimeweka umeme, nimeshangaa nimekuta nimetumia unit 1.5 kwa wiki nzima. Kwa hiyo kwa muda wa wiki 4 nitakuwa nimetumia units 6 za umeme. kwa lugha nyingine, kwa Sh. 5000, napata umeme wa kutumia miezi miwili.

Sasa jiulizeni nyie mnaokaa vyumba vya kupanga, mpo wapangaji 6 wengine hadi 10. Mwenye nyumba anawaramba kila mmoja 10,000/- au 15,000/-kila mwezi umeme. wewe bachelor ndani hakuna unachotumia zaidi ya taa. kupiga pasi nguo yako moja kila siku, na kuchaji simu na laptop. Mnapigwa hela za bure au mnazidiana nyie wapangaji wengine wanatumia vitu vingi vinavyotumia umeme mwingi ila wewe usiye na vingi unawahudumia wengine. Nimependa sana huu utaratibu wa hawa jamaa kwa kweli laiti wapangaji wangejitambua nchi nzima mngewangembana wamiliki waweke submeters kila mtu anunue umeme anaoutumia. Haya mambo ya kuchangiana ni wizi mkubwa aisee.
Kwanza we muongo! Submeter uwezi kuweka umeme, lazima ukaweka kwenye mita kubwa! Kazi ya submeter ni kuangalia matumizi yako ya umeme..... halafu kingine we masikini sana ,unajaji hadi matumizi ya umeme wa Elfu kumi kwa mwezi?
 
Siku zote kwa kijana mdogo anayeanza maisha ningemshauri akae nyumba yenye ushindani wa maendeleo

Mwenzako ana friji nawe pambana unique.
Andover, sijui presha cooker nawe nunua. Anawashing machine nawe nunua.

Ligi za hivyo ndio nzuri sio ukae umerelax.

Kingine nashauri kijana popote ulipo hakikisha watu wanakulaumu na kukuonea wivu sio wewe ulalamike umeme sijui bla blah blah alafu mtoto wa kiume
Nafikiri kijana anatakiwa aishi kwa malengo yake. Huwezi kununua vitu kisa unashindana na mtu usiemjua uwezo wala mipango yake unaweza kuishia pabqya.
 
Nakupa uzoefu na facts muhimu sana. Mimi sina historia ya kukaa nyumba ya kupanga ambayo ni ya kushare wapangaji wengi. Niliwahi kukaa kwa miezi 5 tuu kipindi naanza kazi kwa mara ya kwanza. Baada ya hapo nikapata kazi nyingine nzuri zaidi nikahama mkoa kabisa, huko nikapata nyumba nzima tunashea watu wawili tuu. mwenzangu alikuwa anakaa mwenyewe familia yake ilikuwa mkoa mwingine. so nilienjoy utulivu mkubwa sana, hadi nilipohamia kwangu.

Sasa buana, nisikuchoshe. nimepata safari mkoani, ambayo nitakaa miezi 3 kwa ajili ya mradi fulani. Nikachanga karata zangu na wenyeji wa hapo ninapoenda, nikasema nitakuwa bwege nikikaa lodge kwa miezi 3. Mwenyeji wangu akaingia kusaka vyumba, nikapata chumba kimekaa design kama hostel, but so advanced kama apartment hivi. Kucheki, bei kitonga maana ni za taasisi flani. Jamaa alinikaribisha, kweli kuna vyumba vingi pale. Nilipoingia jamaa akanielekeza masuala ya maji ni bure, umeme ndo kila mtu anajinunulia wa kwake ukiisha. Kwa kuwa nilikuta umeme upo sikuhangaika, ila alinipa angalizo kuwa nikiona umeme umekatika kwangu na vyumba vingine unawaka, basi nijue wa kwangu umeisha ninunue. Maana wameweka sub-meters kila chumba. Nilikaa kama wiki 3, usiku saa 7 nikaona umeme umekatika kwingine unawaka. Nikaona hakuna haja kumsumua jamaa. Asubuhi ndo nikamcheki akanipa mwongozo nikajinunulia. nilinunua umeme wa 5000, nikapata 12.3 units. Matumizi yangu ni taa tuu usiku, feni mara chache, kuchaji simu na laptop, na kupiga pasi nguo. Leo ni siku ya 7 tangu nimeweka umeme, nimeshangaa nimekuta nimetumia unit 1.5 kwa wiki nzima. Kwa hiyo kwa muda wa wiki 4 nitakuwa nimetumia units 6 za umeme. kwa lugha nyingine, kwa Sh. 5000, napata umeme wa kutumia miezi miwili.

Sasa jiulizeni nyie mnaokaa vyumba vya kupanga, mpo wapangaji 6 wengine hadi 10. Mwenye nyumba anawaramba kila mmoja 10,000/- au 15,000/-kila mwezi umeme. wewe bachelor ndani hakuna unachotumia zaidi ya taa. kupiga pasi nguo yako moja kila siku, na kuchaji simu na laptop. Mnapigwa hela za bure au mnazidiana nyie wapangaji wengine wanatumia vitu vingi vinavyotumia umeme mwingi ila wewe usiye na vingi unawahudumia wengine. Nimependa sana huu utaratibu wa hawa jamaa kwa kweli laiti wapangaji wangejitambua nchi nzima mngewangembana wamiliki waweke submeters kila mtu anunue umeme anaoutumia. Haya mambo ya kuchangiana ni wizi mkubwa aisee.
Mimi sina historia ya kukaa nyumba ya kupanga ambayo ni ya kushare wapangaji wengi. Niliwahi kukaa kwa miezi 5 tuu kipindi naanza kazi kwa mara ya kwanza..?🤔
 
Iko hivi bei ya umeme vijijini na mjini ni tofauti kabisa.

Sio jambo la kushangaza
 
Jamii Forum hakuna aliyepanga.

Humu wote tunaishi kwenye nyumba zetu za ghorofa zilizopo Mbweni,Masaki,Obey na Mikocheni.

Umeme tunaweka wa laki 2 tunatumia mpaka tunasahau.

Huo umeme wa elfu 5 hatukumbuki lini mara ya mwisho kununua.

😂😂😂😂
 
Siku zote kwa kijana mdogo anayeanza maisha ningemshauri akae nyumba yenye ushindani wa maendeleo

Mwenzako ana friji nawe pambana unique.
Andover, sijui presha cooker nawe nunua. Anawashing machine nawe nunua.

Ligi za hivyo ndio nzuri sio ukae umerelax.

Kingine nashauri kijana popote ulipo hakikisha watu wanakulaumu na kukuonea wivu sio wewe ulalamike umeme sijui bla blah blah alafu mtoto wa kiume

Una maanisha nini mtibeli?
 
Inaudhi kwa kweli, mtu umechanga umeme ununuliwe kisha ukasafiri, ile unarudi tu unakuta umeme umeisha unatakiwa uchange tena wakati zile unit ulizochanga hukuzitumia. Umeme wa nyumba za kupanga ni kero tu, mwendo ni kuburuzana tu

Hapana, km ulichanga na hukutumia, hutakiwi kuchangia tena. Huu ni wizi.
 
Back
Top Bottom