Kuna kaka mmoja alikuja kusoma UDSM, alipangisha chumba Tandale. Alikuwa na girl friend wake wa long time, mtoto wa kisure basi mtoto akawa anakwenda weekend kwa jamaa, maji mnachota mtaa wa pili ndiyo kuna kisima, basi asubuhi mkaka akawa anakwenda kumchukulia babe wake maji ya kuoga, mwe wewe wa mama wasiache kumchamba, huyu ndiyo utamuoa huyu, mwanamke amelala wewe unakwenda kuchota maji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio ninapoishi hapa Mwananyamala Qumamae...
Umeme mchana unazimwa. Ukitaka nunua wa 2000 watumie wote.
***** week ijayo nahamia Survey Mwenge.
Miaka 30 jela
Bila shaka ni msambwanda
Kuna kaka mmoja kazini alinipa story kama hii. Yeye ni Mpemba sasa baba yake mdogo alikuwa na duka. Akitoka shule alkwenda kuuza duka na saa nne wakifunga baba mdogo alimpa cash in hand.''Rafiki zangu wa kiume kama watatu hivi waliniambia bikra zao zilitolewa na wapangaji wengine wakati wakiwa wadogo kwenye nyumba za kupanga, mimama isiyokuwa na haya anamsubiri mama wa kijana ametoka, ndipo kijana anapoitwa chumbani, huko anakuta ameandaliwa chai na vitafunwa na akapewa mchezo.''
NIMECHEKA SANA ICHO KIPANDE. KUMBE KUNA HUDUMA KAMA HIZI BORA KUONDOKA NYUMBANI KWENDA KUPANGA
Duuh ndio mana siku hizi watoto wadogo hawaogopi watu wazima maana wameshaakomazwa kwenye nyumba za kupangaKuna kaka mmoja kazini alinipa story kama hii. Yeye ni Mbemba sasa baba yake mdogo alikuwa na duka. Akitoka shule alkwenda kuzaa duka na saa nne wakifunga baba mdogo alimwambia cash in hand.
Basi ile mimama ikiamka mahesabu hayasomeki inamkopa kijana, akikumbushia hela yake anaitwa chumbani na kuolewa vitu vya wakubwa
nilivyoelewa mimi, binti alikuwa ni wewe[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna kaka mmoja alikuja kusoma UDSM, alipangisha chumba Tandale. Alikuwa na girl friend wake wa long time, mtoto wa kisure basi mtoto akawa anakwenda weekend kwa jamaa, maji mnachota mtaa wa pili ndiyo kuna kisima, basi asubuhi mkaka akawa anakwenda kumchukulia babe wake maji ya kuoga, mwe wewe wa mama wasiache kumchamba, huyu ndiyo utamuoa huyu, mwanamke amelala wewe unakwenda kuchota maji.