Maisha katika nyumba za kupanga

Maisha katika nyumba za kupanga

Mimi nyumba yangu ya kwanza kupanga mama mwenye nyumba alikuwa ana tabu sana...yani hana jema...Eti nikiwa nachungulia madirishani kwa wapangaji wenzangu kupiga chabo ananimind, nikojoa ukutani nyuma ya nyumba ananimind...Kuna kipindi chooni ilikuwa foleni kila muda, nikaamua mwenyewe najisaidia chumbani kwenye mifuko weekend nikitulia naenda kumwaga, eti pia alipojua akanichamba balaa...yani wamama wengine nuksi sana..,sjui alikuwa ananitaka
Na wewe umeona usipite kimya mkuu
 
nyumba ya kupanga raha yake wote muwe mnaondoka mnarudi jioni ila kama kuna wanaoshindaga nyumbani basi vitimbi huwa vinaanzia hapo
 
Back
Top Bottom