Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,304
Nyumba ya kupanga kero zake kuombana chumvi,majani ya chai(wasio na haya wanaomba chai kabisa eti anawahi sehemu kashindwa kupika),mafuta ya kujipaka,sukari,unga(kisingizio uji wa mtoto)
Kuvaliana,kuazimana kuna watu ni hodari wa kuazima kila akionacho kwa jirani yake sio ndala,yebo,kanga,dela,viatu,wanja,nguo na chochote akionacho, mnyime sasa gubu lake mtaa mzima utatangazwa mchoyo.
Kuvaliana,kuazimana kuna watu ni hodari wa kuazima kila akionacho kwa jirani yake sio ndala,yebo,kanga,dela,viatu,wanja,nguo na chochote akionacho, mnyime sasa gubu lake mtaa mzima utatangazwa mchoyo.

