Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.

2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.

3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...



Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii awamu imejaa mambulula kama wote,hawachelewi kutuambia dawa ya corona imepatikana chato.
Kama waliweza kutuambia alieongoza std 7 katokea chato hawashindwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si Bora yeye anacheza love story sio kina tundulisu wanacheza action za baroka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.

2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.

3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...



Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nini kinathibitisha kwamba hiyo kahawa/tangawizi imemiminwa kutoka kwenye hicho kichupa?


~I moved your cheese! So what?~
Uwe unaangalia na taarifa za habari, jana usiku ilioneshwa akiomba aongezwe kahawa nyingine.
 
Wanaishia kujidanganya wenyewe na kuchekelea.
Siku huyo Mzee akigundua kuwa kitengo cha Msigwa kinamdhalilisha na kumtambulisha mbele za watu kuwa ni muongo hakika atakivunjilia mbali na kuwapa kesi ya uhujumu au ML
Kwani yeye hajui hayo mambo mkuu ?
 
Hata ugeuze T shirt tushajua maigizo yenu
Eti anakunywa kahawa na wananchi
FB_IMG_1585486588871.jpg
FB_IMG_1585486595834.jpg
 
Hivi kweli mlitegemea Raisi wa nchi na Amiri jeshi akanywe kahawa hivi hivi?Hivi tunajua kuwa kuugua kwa Raisi ni jambo ambalo linaweza kuangusha uchumi wa nchi?

Hata hao kina Obama tunaowaona wakienda mahali na kuchanganyika si kienyeji kama tunavyodhani. Rais ni mtu mkubwa sana na hatuna haja ya kupekua vitu vidogo vidogo.
 
Back
Top Bottom