Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

Hivi kweli mlitegemea Raisi wa nchi na Amiri jeshi akanywe kahawa hivi hivi?Hivi tunajua kuwa kuugua kwa Raisi ni jambo ambalo linaweza kuangusha uchumi wa nchi?
Hata hao kina Obama tunaowaona wakienda mahali na kuchanganyika si kienyeji kama tunavyodhani.Rais ni mtu mkubwa sana na hatuna haja ya kupekua vitu vidogo vidogo.
Sasa wanaigiza hivyo kwa faida gani ?
 
Kwani yeye hajui hayo mambo mkuu ?
Waweza kuta anajua kwa mtindo ule wa fundi wa joho LA mfalme. Kwamba mpaka mtoto apayuke 'mfalme yuko uchi' ndio anajua kuwa fundi kamuingiza mkenge kumbe hakuna cha joho wala dera
 
Na ndiyo maana Raisi haachi kusema jinsi ilivyongumu kazi ya Urais, kama tu mtu unakunywa gahawa bado inakuwa mjadala!!! Basi, tushajua kumbe kinachomfanya aseme hivyo!!!

Asiongee, bado ni mjadala, akila peupe Napo ni shida, alienda kwao kuwaona wa nyumbani mwake Napo taabu, hivi haya mambo yapo Hadi huko majuu ama ni hapa tu kwetu, mliosafiri safiri huko tuambieni, tunaigaa!! Au
 
Kwa usalama wa Rais wetu, ningelishangaa kama tahadhari kama hiyo isingelichukuliwa kwenye maeneo ya wazi kama hayo.
 
Hivi kweli mlitegemea Raisi wa nchi na Amiri jeshi akanywe kahawa hivi hivi?Hivi tunajua kuwa kuugua kwa Raisi ni jambo ambalo linaweza kuangusha uchumi wa nchi?
Hata hao kina Obama tunaowaona wakienda mahali na kuchanganyika si kienyeji kama tunavyodhani.Rais ni mtu mkubwa sana na hatuna haja ya kupekua vitu vidogo vidogo.
Sasa kwanini wanaigiza? Si wakarekodi bongo movie?
 
Majuu hayapo
Na ndiyo maana Raisi haachi kusema jinsi ilivyongumu kazi ya Urais, kama tu mtu unakunywa gahawa bado inakuwa mjadala!!! Basi, tushajua kumbe kinachomfanya aseme hivyo!!!

Asiongee, bado ni mjadala, akila peupe Napo ni shida, alienda kwao kuwaona wa nyumbani mwake Napo taabu, hivi haya mambo yapo Hadi huko majuu ama ni hapa tu kwetu, mliosafiri safiri huko tuambieni, tunaigaa!! Au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiojulikana na Watekaji wanajipongeza, wanakunywa kahawa na anaewatuma kuumiza Watazania.
 
Na ndiyo maana Raisi haachi kusema jinsi ilivyongumu kazi ya Urais, kama tu mtu unakunywa gahawa bado inakuwa mjadala!!! Basi, tushajua kumbe kinachomfanya aseme hivyo!!!

Asiongee, bado ni mjadala, akila peupe Napo ni shida, alienda kwao kuwaona wa nyumbani mwake Napo taabu, hivi haya mambo yapo Hadi huko majuu ama ni hapa tu kwetu, mliosafiri safiri huko tuambieni, tunaigaa!! Au
Tatizo siyo kunywa kahawa au kula Kashata, hivi hii ni habari ya kutolewa na Ikulu kumhusu Rais wa Nchi. Hii inaongeza nini labda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ,nimecheka kisengelema,maana wananzengo walianza kufukunyua kuhusu birika la pale kijiweni halikuonekana,na ikaonekana chupa ya chai badala ya birika,na leo mwanakijiji wa mtumia manati ya kizungu kaonekana kageuza nguo kuficha nembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli mlitegemea Raisi wa nchi na Amiri jeshi akanywe kahawa hivi hivi?Hivi tunajua kuwa kuugua kwa Raisi ni jambo ambalo linaweza kuangusha uchumi wa nchi?

Hata hao kina Obama tunaowaona wakienda mahali na kuchanganyika si kienyeji kama tunavyodhani. Rais ni mtu mkubwa sana na hatuna haja ya kupekua vitu vidogo vidogo.
Ya nini kufanya maigizo kama ni MTU mkubwa
 
Hivi kweli mlitegemea Raisi wa nchi na Amiri jeshi akanywe kahawa hivi hivi?Hivi tunajua kuwa kuugua kwa Raisi ni jambo ambalo linaweza kuangusha uchumi wa nchi?

Hata hao kina Obama tunaowaona wakienda mahali na kuchanganyika si kienyeji kama tunavyodhani. Rais ni mtu mkubwa sana na hatuna haja ya kupekua vitu vidogo vidogo.

Kuna Rais na Rais mkuu.

Mwingine kuugua kwake kunaweza kuinua uchumi aliouangusha.
 
Mbona siwaelewiii kabisaaa! Munamaanisha nn? Rais anaumwa! Kwani yeye sio binadamu!? Nini Cha ajabu akiumwa? Leteni mada zenye mashiko za kuelimishana, sio hizi za waimba taarabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom