Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,356
Afya na ulinzi wa Raisi ni muhimu mno. Kwa hiyo hakuna cha kustajabisha hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa mwananchi wa kutengeneza. [emoji3]
😂😂😂😂Huyo mzee wa katikati ni Pele?
😂😂😂Ukimwangalia mwamba apo anaonesha kabisa kunywa kahawa sio jadi yake. Labda bia!
It is never to late to begin. Start now
Sasa ndiyo ufanye maigizo?Afya na ulinzi wa Raisi ni muhimu mno. Kwa hiyo hakuna cha kustajabisha hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba muweke picha kabla ya Magufuli kufika hapo. Maana mnaongea ujinga usiokuwa na Ushaidi.1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu msafara wa RAIS eti uzuiwe na "wanachi" afu wawepo watu wa kutoa kero zao na wa kutumbuliwa na wa kupandishwa cheo hapo hapo ambapo hapakuepo kwenye ratiba ya msafara wa mkuu!!Hivi raisi kama MAGUFULI ambaye anajua kilichomkuta MANGULA anaweza fanya hivyo kweli? Awe serious huyo mzee.anasema misafara yake inazuiwa na wananchi kweli? Misafara ya raisi na mambo yote yale nani anazuia
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao watu/ WANYONGE wanajuaje kama bosi wao anapita?Hivi raisi kama MAGUFULI ambaye anajua kilichomkuta MANGULA anaweza fanya hivyo kweli? Awe serious huyo mzee.anasema misafara yake inazuiwa na wananchi kweli? Misafara ya raisi na mambo yote yale nani anazuia
Sent using Jamii Forums mobile app
@$$holeYaani wewe tshirt ikiwa na nembo ya taifa imetoka Dodoma?
Na misukule lumumba je?!Misukule ya ufipa inapata tabu Sana kazi yote ya Nini kuchanganyikiwa hivi mnatia huruma
Hata Yesu akirudi misukule ya lumumba haiwezi kurudi kua binadamu wa kawaida
Yani rais wetu anapata taaabu ya kuigiza wewe huoni taabu, rais anadharirika huoni taabu? Au hujui kuwa anadharirika?Sioni tatizo lolote kwenye hiyo picha, kama ni maigizo au ni kweli haimuhusu mtu yoyote why bother in? Mind your business busy body!
Maisha mafupi sana, Nyerere tu alikuwa anacheza bao.
Wafipa mnataabika.
Sent using Jamii Forums mobile app