ILISACHA
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 2,184
- 4,046
Sawa ila tambua kuwa Nyerere hakuwa kuigiza katika maisha yake yoteSioni tatizo lolote kwenye hiyo picha, kama ni maigizo au ni kweli haimuhusu mtu yoyote why bother in? Mind your business busy body!
Maisha mafupi sana, Nyerere tu alikuwa anacheza bao.
Wafipa mnataabika.
Sent using Jamii Forums mobile app