Hawajaigiza,nyie ndio mnapekua mno.Sasa wanaigiza hivyo kwa faida gani ?
Hawajaigiza,nyie ndio mnapekua mno.Sasa wanaigiza hivyo kwa faida gani ?
Mwananchi ni mtu ambae havai T-shirt kageuza halafu yenye nembo ya bibi na bwanaKwahiyo huyo sio mwananchi? Mwananchi ni nani?




Sawa rais wenu........ Nasikia hasikii ushauri wa yeyote isipokua ushauri wa ulinzi wake basi....Kwa usalama wa Rais wetu, ningelishangaa kama tahadhari kama hiyo isingelichukuliwa kwenye maeneo ya wazi kama hayo.
Sasa wanaigiza hivyo kwa faida gani ?
Kwani hizo tisheti walimu watendaji vijiji wahudumu wa afya nk hawawezi kuwa nazo???
Kugeuza nguo si ni maamuzi ya mvaaaji tuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanachi ni yupiHata ugeuze T shirt tushajua maigizo yenu
Eti anakunywa kahawa na wananchiView attachment 1403125View attachment 1403127
Mim nafikiri wew ndo msukule maana akili yako imelala kama maji takaMisukule ya ufipa inapata tabu Sana kazi yote ya Nini kuchanganyikiwa hivi mnatia huruma
Mkuu mbona unateseka? Akili yako ndio inakuumiza. Huyo wa kulia kama ni tiss wapi anakatazwa kuonja kahawa?1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa kila kitu anachofanya Rais Mnaona anaigiza, mnataka afanye kwa akili zenu?Yani rais wetu anapata taaabu ya kuigiza wewe huoni taabu, rais anadharirika huoni taabu? Au hujui kuwa anadharirika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unateseka na maisha ya mtu mwingine? huna la kufanya? Angalia maisha yako, c'mon man.Sawa ila tambua kuwa Nyerere hakuwa kuigiza katika maisha yake yote
Kwanini unateseka?ama kweli tunatofautiana uelewa,wengine akili nzito
Anapoza kwa kupulizaUkimwangalia mwamba apo anaonesha kabisa kunywa kahawa sio jadi yake. Labda bia!
It is never to late to begin. Start now
nakuonea huruma tu ulivyo mweupe kichwani na kinaki kukenua humu.mara mbona Nyerere alikuwa anacheza bao,mara mind your business.Kwanini unateseka?
Kwanini unaTESEKA na so called akili nyingi? Mtu mwenye akili asumbuliwi na mambo madogo madogo.nakuonea huruma tu ulivyo mweupe kichwani na kinaki kukenua humu.mara mbona Nyerere alikuwa anacheza bao,mara mind your business.
Kwa ujinga wako unashindwa kutofautisha kucheza bao kwa Nyerere na maigizo, unashindwa kujua kama hoja hapa sio kunywa kahawa kijiweni bali ni kuigiza kunywa kahawa kijiweni. ulivyo mjinga unashindwa kujua kama president business is not private business it is public business,kwa hiyo it is also my business.
Swali zuri.Nini kinathibitisha kwamba hiyo kahawa/tangawizi imemiminwa kutoka kwenye hicho kichupa?
~I moved your cheese! So what?~