Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

Maigizo ya Magufuli na timu yake Chato

Hivi tz hakuna wanasaikolojia waliobobea wa ku hypnotize public sympathy kwenye utawala..hizi mbinu zilitumiwa miaka ya 1950 huko marekani..Sasa mtu mzima kajifcha kwenye mchicha ..watu kupitia kwenye picha tu wanajua hii movie
 
Wazee wa system naomba nimtanie mzee kidogo...na ilo Shati na kofia Kama profesa ndumilakuwili....
 
1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.

2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.

3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...



Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427

Sent using Jamii Forums mobile app

Huu nao uzi wa mtu. Kaamka kaandika. Then Tz mnataka maendeleo. Kuwaza tu eti Rais anahitaji kufanya maigizo nyumbani kwake Ni Utoto wa hali ya juu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.

2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.

3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...



Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama wee umeambiwa anakunywa kahawa na wananchi wa kijijini kwake hiyo kahawa hujaambiwa kama kanunua hapo alipokaa hiyo chupa ni take away unaweza nenda nayo popote kuyoka nayo nyumbani
 
Wewe ulitegemea atakaa hapo anywe kahawa na raia wa kawaida.

...........
 
Back
Top Bottom