Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,707
- Thread starter
- #161
Ipi ianze, imani au kazi?Asiye fanya kazi na asile... imani na kazi mkuu inawezekana!
Ipi ianze, imani au kazi?Asiye fanya kazi na asile... imani na kazi mkuu inawezekana!
Nadhan hazipungui 500M,Nikipata hizo hela naanzisha kijiji chenye ekari 200 pale kariakoo
Imani, maana ndoo inaanzia kwenye maamuzi.Ipi ianze, imani au kazi?
Kama ni hiyo, haitatosha kutengeneza kijijiNadhan hazipungui 500M,
Ukiambiwa uchague moja ili uweze kuishi, utachagua ipi?Imani, maana ndoo inaanzia kwenye maamuzi.
Kwanza kijij cha kazi gani kariakoo?Kama ni hiyo, haitatosha kutengeneza kijiji
Imani, maana mwanadamu hataisha kwa mkate tu! bali kwa kila neno asemalo BWANA!Ukiambiwa uchague moja ili uweze kuishi, utachagua ipi?
Kutengeneza tamaduni na majengo mapya yenye mfanano.Kwanza kijij cha kazi gani kariakoo?
Maneno ya wazungu haya.Imani, maana mwanadamu hataisha kwa mkate tu! bali kwa kila neno asemalo BWANA!
Umesha wahi kusoma zaburi 23?Maneno ya wazungu haya.
Imani itakusaidiaje kulima au kupata mahitaji yako ya kila siku?
hii project mbona kama haina, mashikoKutengeneza tamaduni na majengo mapya yenye mfanano.
Imeandikwa na nani?Umesha wahi kusoma zaburi 23?
Mashiko ya nini?hii project mbona kama haina, mashiko
Na kundi kubwa hata kupendeka hawastahili ni basi tu nyege zetu.Hawana huruma kabisa
Mhitimu wa chuo cha mapenzi anatakiwa kutengeneza ajira sio kuajiriwa.Hizi fani zingine zinawakosesha ajira, kwenye hii fani mpya watapata ajira wapi?
Baba mlezi huyoHapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Uwongo mwingi wengine wananihudumia wao wenyeweWote hao unawalisha nini?
No free lunch in Africa...Mkuu, Kwani ni lazima?
Kama jambo halileti hela, basi hali make sense. Hao hao wanawake ambao wewe unatuma hela hadi unachoka, kuna wahuni wanapiga for Free.
Kwa kila mwanamke, kuna Mwanaume ambae huwa anapiga FREE, Jitahidi uwe miongoni mwao. Usipende kutongoza mademu ambao hawana interest na wewe.
Be a Man, acha kuendeshwa na kichwa kidogo.
Atatengeneza ajira ipi?Mhitimu wa chuo cha mapenzi anatakiwa kutengeneza ajira sio kuajiriwa.