Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Wacha wakukamue haki yao mbona ukienda kupungua uzito hulalamiki
 
Wacha wakukamue haki yao mbona ukienda kupungua uzito hulalamiki
haya mambo ya kuhonga na kufilisiwa hela hayako kwa binadamu tu
birr.jpg


birdd.jpg
 
Back
Top Bottom