Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,783
Reaction score
61,446
Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
 
Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.​
Piga chini wote upate amani ya rohoni
 
Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.​
Mkuu, Kwani ni lazima?

Kama jambo halileti hela, basi hali make sense. Hao hao wanawake ambao wewe unatuma hela hadi unachoka, kuna wahuni wanapiga for Free.

Kwa kila mwanamke, kuna Mwanaume ambae huwa anapiga FREE, Jitahidi uwe miongoni mwao. Usipende kutongoza mademu ambao hawana interest na wewe.

Be a Man, acha kuendeshwa na kichwa kidogo.
 
Back
Top Bottom