Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Attachments

  • FB_IMG_1787054247217.jpg
    FB_IMG_1787054247217.jpg
    20.4 KB · Views: 1
Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.​
Fungua chuo cha kati cha mapenzi.
 
Back
Top Bottom