Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.​
Papuchi unaipenda kulipia hutaki,na papuchi sita zote za nini?
 
Ukifika kwa sir god kuna zawadi yako kakuandalia maana umejua kumuheshimisha kama mwanaume
Zile ni hadithi za kusadikika, ukimkanyaga mende akifa, kule anapoenda na wewe utaenda huko huko ukifa; haya mambo ya kujipa matumaini hewa ni biashara za watu.
 
Back
Top Bottom