Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.

Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.​
Ukitaka kula vizuri lazima na wewe ULIWE - Jakaya Kikwete

1787157602440.png
 
Back
Top Bottom