Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,812
- 61,490
- Thread starter
- #41
Ebu jaribu kutembea juu ya majiAchana na sadaka, kwa jina la YESU inatosha!
Ebu jaribu kutembea juu ya majiAchana na sadaka, kwa jina la YESU inatosha!
Naam, wanawake ni magaidiHawa wametufanya sisi watumwa
Kazi ipoHawa wametufanya sisi watumwa
😄😄😄Nyeto ni jambo jema kwa kila mtu mwenye akili timamu 😎
Wasaka fursaNaam, wanawake ni magaidi
Suluhisho ni kukataa utumwa tuKazi ipo
Utakuja the giant uone...Ebu jaribu kutembea juu ya maji
😂😂😂😂😂😂Ongeza wa saba
Ukitaka kula vizuri lazima na wewe ULIWE - Jakaya KikweteHapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Usitoe huduma yoyote watakimbia wenyewe mkuuNdio nawatafutia sababu, lakini ni wabishi kuachika.
Kuna house girl, alikuwa ananipa kipigo makini, when i was childhood kisa kunanilii... kitandani.Naam, wanawake ni magaidi
Amekufundisha vyemaKuna house girl, alikuwa ananipa kipigo makini, when i was childhood kisa kunanilii... kitandani.
Nisha msamehe!
Ndio maana napenda nimpende mwanamke mmoja tu ale pesa yangu atakavyo ila muhimu awe anakunywa na bia na ana aliki tu😅
Hapa hachomoki mtu