Psalm_23
JF-Expert Member
- Aug 18, 2026
- 284
- 437
Yah! ila sasa hivi na route nyingi, simalizi week narudi job!unaishi katoro?
Yah! ila sasa hivi na route nyingi, simalizi week narudi job!unaishi katoro?
katoro kuna mitaa gan?Yah! ila sasa hivi na route nyingi, simalizi week narudi job!
Duh... kwani unapajua? maana hata kama nikikutajia mitaa kama hupajui ni bure tu¡katoro kuna mitaa gan?
Melerani, mnadani, stamico, maseason, mchangani, mtaa wa afya, kaduda, and so on......katoro kuna mitaa gan?
Nilijua ni kashinjeKashinde.
Nichangieni ata buku buku basiiiSasa usilalamike mzee! 😊
Hii inakuwaje?Km kapuku uwe unavizia loose ball🤣🤣🤣
Sita wote unawapeleka wapi mkuu, huyo mmoja-wawili tu ni changamoto ije kuwa sita?
Tamaa tu ya kujua mengiSi ulidhani sifa?
Waleta ada watakuwa kina nani?Fungua chuo cha kati cha mapenzi.
Wanamaliza kiinua mgongo changuMatapeli hao mkuu
Basi Wacha dunia ikufunzeTamaa tu ya kujua mengi
Atakuwa hataki kazi za kiumeMkuu Kuna mdau mmoja alileta Uzi wa kutaka abadilishiwe maungo naomba mtafute akupe uzoefu Hadi yeye kutamani kubadilisha maungo yake
Kodi mashamba uwape wakalimeHapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Nichangieni ata buku buku basiii
Huyu atakuwa huko lindi ndanindaniMelerani, mnadani, stamico, maseason, mchangani, mtaa wa afya, kaduda, and so on......
Ni nani alisema ni dhambi?Ni kawaida dhambi zinakula sana hela na zinaleta umasikini, mfano Uzinzi na Ulevi hizi dhambi zimeua watu, zimeharibu afya za watu na zimeangamiza watu
Kwa sababu tuna date mchwaHapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Wanafuga makucha, wataweza kulima kweli?Kodi mashamba uwape wakalime