Psalm_23
JF-Expert Member
- Aug 18, 2026
- 209
- 325
Hahahahahaaaa unaweza kupita kwenye bonde la uvuli wa MAUTI? tuanzie hapa kwanza.Safi kabisa, nitumie sadaka yako ili upate mafanikio.
Hahahahahaaaa unaweza kupita kwenye bonde la uvuli wa MAUTI? tuanzie hapa kwanza.Safi kabisa, nitumie sadaka yako ili upate mafanikio.
Maombi yako ni muhimuIla hakikisha mkeo asijue...
Tafuta hela maharage hayamalizi gas.Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha.
Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
Unanisaidiaje?Sema hivii:👇
Mimi Equation x 🧍♂️: mahusiano yangu yana maliza kile chochote kitu nilichonacho
Tatizo ni mama zaoHapana umesahau dawa ya moto ni moto, akili itachangamka si mnasema kila mmoja anakuja na riziki yake
Nipo huku katoro sijapata bado dhahabuTafuta hela maharage hayamalizi gas.
Leta udongo wa shamba lako ili uvune alizeti nyingiHahahahahaaaa unaweza kupita kwenye bonde la uvuli wa MAUTI? tuanzie hapa kwanza.
Masikini anashiriki matusi, tajiri anashiriki mapenziMasikini hana haki yakushiriki mapenzi
Kesho nitakutafuta, nitakuwa katoro nikupeleke nyarugusu.Nipo huku katoro sijapata bado dhahabu
Hii ni baraka, wapo wanaosota kutafuta nguvuCOntroo nyege mkuu,usije baki historiaa..
Uje na kondoo wa sadaka za wazeeKesho nitakutafuta, nitakuwa katoro nikupeleke nyarugusu.
Mimi mtu wa gold... alizeti nitateseka tu!Leta udongo wa shamba lako ili uvune alizeti nyingi
Aya njoo hemani ukeshe ukiabuduMimi mtu wa gold... alizeti nitateseka tu!
Achana na sadaka, kwa jina la YESU inatosha!Uje na kondoo wa sadaka za wazee
Hema gani hilo tena?Aya njoo hemani ukeshe ukiabudu
Hii hatari sana, hii inaashiria wanaume tupo wachache sana.Kuna kipindi unakuwa na Wachumba wengi hadi unatamani wakufumanie wakuache.
Ili uanze upya.
Wapenzi 6 ni wengi sana.
Na bado hao wanawakw zako 6 wana wapenz wao wawili wawili nje kwa kila mmoja.
Kwahiyo kwa kifupi kwa idadi ndogo hapo mko kwenye mzunguko wa wanaume karibia 20.
Na kama kuna muhudumu wa bat hapo. Basi hesabia Mnashare wanaume 30 kabisa.
Kuimba na kusifuHema gani hilo tena?