Swali zuri saana,ni sawa na kusema mbona vyama vingine vinamigogoro
Sio msemo linganifu na swali lake...ameuliza swali sahihi kabisa ...ambalo nimeliuliza pia... Why Dangote...????😲

Ujue kunatakwa linalokinzana na sheria taratibu na sera yetu ya uwekezaji. Huwezi kufanya mabadiliko hayo kila mwekezaji akilalama kwenye international forum... Never

If our policy and act are not equivalent to your expectations why are you investing multi million dollars in our country?
 
Hili jambo litakuwa linamsikitisha hata JK, mwaka 2013 au 2014 JK alikwenda Nigeria, Aliko Dangote akamtembeza kwenye kiwanda chake ambacho ni moja ya viwanda vikubwa vya saruji duniani. Baadaye Dangote ndio akaja kujenga hiki kiwanda Tanzania. Dangote aliletwa Tanzania na JK, baada ya JK kuondoka ndio Dangote akaanza kupata misukosuko. Wakati hiki kiwanda kinajengwa, Aliko Dangote alikuwa anakuja na ndege yake binafsi anatua moja kwa moja Mtwara anaangalia ujenzi unavyoendelea kisha anapaa siku hiyo hiyo anarudi Nigeria. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Baada ya Awamu ya Viwanda ya JK ikaja awamu ya kuua viwanda na kufufua machinga.
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa.
Hawezi kutumbukiza shimoni uwekezaji kama aliofanya hapa.

Atavumilia, hata kama ni kwa mbinde wimbi hili lipite aendelee na biashara yake.
 
Nakumbuka kipindi cha JK wawekezaji walikuwa wanapewa tax holiday kwa muda fulani japo walikuwa wanatumia vibaya but ilisaidia kuweka mzunguko wa pesa kwenye uchumi na kufanya demand iwe kubwa hivyo kuzidi kuchochea biashara mpya lakini huyu wa sasa hajui chochote kuhusu uchumi zaidi ya kujenga jenga tu mavitu yasiyo na maana
Uzuri unakili walitumia vibaya... Walipewa 5yrs concecative tax free ikiisha mitano wana declear loss wanatangaza kufilisika kampuni inauzwa (wanajiuzia kwa jina jipya) kufidia madeni...

Then new company inazawadiwa tena 5yrs tax holiday...ndio mchezo ulivyoendelea so lazima mjitathimini Dangote na wengine in extraction companies (wachimbaji) ujue madini yanaisha....

we ni kucheka cheka na tax holiday ukija kushtuka mzigo umekata unabakiziwa mashimo... Mashimo yenyewe kuyafanyia closure napo mtiti yaani acha tu waondoke wajukuu zetu watachimba .....tukiwa na mtaji wa ndani ngoja tukamuane kwanza.
 
Janja janja ya wanaijeria ikakutana na serikali ya kiongozi wa malaika, namba zikaanza kusomwa!

Matajiri wengi siyo wote DHULUMA ndiyo kigezo kikubwa cha wao kuwa na mipunga mirefu kwenye account zao binafsi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa.
Leo New Habari 2006 wamefungasha vilago
 
Baadaye Tutumie Kauli Mbiu Yetu Kuwa
Mabeberu Yamemshawishi Aondoke Ama
Alikuwa Halipi Kodi Huyu!!

Ngoja Waje Wenyewe

Najiandaa Kununua Kiwanda Mtwara
Ama Serikali Ikichukue Tuhifadhie Korosho

Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory
Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory

17 October 2020


Dangote Cement will test run a new US$90m gas-fired power plant in Mtwara, Tanzania, later this month. The plant has been delayed with the outbreak of COVID-19, but it will supply the Mtwara cement plant and reduce Dangote Cement's reliance on coal imports.

The new power plant is due to be fully commissioned in November. The Mtwara plant has not operated at full capacity during 2020, but the new power plant should help energy efficiencies. "We have had mechanical failures of some main equipment in the first four months of the year, and our maintenance to sustain reliability delayed because of the late delivery of material needed for the maintenance of our kiln," said Mr Corcos, Dangote Tanzania country manager.

Published under Cement News11/10

Tagged Under: Dangote Cement Power Plant Tanzania COVID-19 coronavirus East Africa

Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory

11 August 2020

Dangote Cement will test run a new US$90m gas-fired power plant in Mtwara, Tanzania, later this month. The plant has been delayed with the outbreak of COVID-19, but it will supply the Mtwara cement plant and reduce Dangote Cement's reliance on coal imports.

The new power plant is due to be fully commissioned in November. The Mtwara plant has not operated at full capacity during 2020, but the new power plant should help energy efficiencies. "We have had mechanical failures of some main equipment in the first four months of the year, and our maintenance to sustain reliability delayed because of the late delivery of material needed for the maintenance of our kiln," said Mr Corcos, Dangote Tanzania country manager.

Published under Cement News

Source : https://www.cemnet.com/News/story/1...90-power-plant-for-mtwara-cement-factory.html
 
Ndio tuseme yote lakini tusihusishe matatizo ya menejimenti ya makampuni binafsi na sera za uwekezaji. Kushindwa kwao kuendesha hakuhusiani na sera huo ndio ukweli. Kwa mfano kati ya wawekezaji waliokuwa wapendelewa sana ni Dangote hakuna anayepinga hilo.
Alipendelewa kwa lipi? Embu fafanua. Ukilinganisha na wawekezaji wengine siyo unaleta porojo TU hapa.
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
ktk hali kama hii sidhani kama chadema wanahusika kwa lolote lile. unapoleta ushabiki walo wa ccm, kwenye maisha ya watu yanayotegemea ajira hapo, ujue hujui maisha yako , unasubiri ccm wakutafsirie uishi vp. HALI NI MBAYA KOTEKOTE MAISHA YAMEGEUKA GHAFLA NA BADO MAPEEMA TANGU TUMALIZE UCHAGUZI , KAMA UNAMEGEWA MKATE TOKA LUMUMBA JUA KUNA WASIO NA NAFASI HIYO, SO KUSEMA HIVYO NI KUTOJITAMBUA INGAWA UKO KIBARUANI LKN SOKO , DUKA NA HATA HOSPITALI HUKO KOTE GHARAMA NI ZILEZILE KWA WANA SERIKALI NA WASIO WANA SERIKALI.
 
Raisi MAGUFULI piga kazi WATAKUHUSISHA sana Kwenye mambo mengi yasiyo ihusu SERIKALI yako moja Kwa moja LAKINI Wewe piga kazi jembe Sisi tulio wengi ndio tumekuchagua hata uchaguz ukirudiwa leo unashinda tuu

IPO siku tu WATAKUELEWA ipo Siku WATAKUONA ulikuwa wa maana SANA
 
Dangote alipoanza kuwekeza Tanzania, yaani humu JF hakukukalika kwa nyuzi zilizokua zinapeperushwa, nimeshtuka sana kusoma hizi taarifa za kwamba yuko kwenye juhudi za kufunga vilago, ameamua buriani. Hivi Watz mlishakua mfupa uliomshinda fisi, tatizo hamuambiliki, hamshauriki kwa mlivyoshupaza shingo.

=========

Dar es Salaam. The High Court has blocked proceedings for winding up of Dangote Cement Limited instituted by NSK Oil and Gas Limited pending determination of a Sh5.8 billion suit Standard Chartered Bank has filed against the two companies.

NSK, suppliers of oil products, lubricants, and liquefied petroleum gas (LPG) has filed at the commercial division of the High Court a petition for the winding up of the cement producer over inability to settle a Sh5.8 billion debt.

The petition prompted Dangote to file an application at the same court in which it sought orders to halt the move pending determination of the case Standard Chartered has filed against them over an unsettled Sh5.8 billion overdraft facility.

Dangote then asked the court to halt the winding up proceedings including publication of the petition for winding up, arguing that the petition was premature and was filed in bad faith.

The company further argued that publication of the petition for its winding up would cause them irreparable reputational damage.

The dispute arose from an agreement Dangote entered with NSK Oil in May 2018 for the later to supply the former with fuel.
To facilitate smooth supply of the fuel, NSK Oil secure and obtained an overdraft to a limit of Sh11.1 billion from Standard Chartered Bank as a working capital.

As a security for the loan, NSK Oil assigned its debt in the performance of the agreement to the bank by a notice of assignment signed by both parties in the deal.

However, things did not go well between the bank, on one side, and Dangote and NSK Oil, on the other. Dangote allegedly failed to pay some money as agreed, forcing Standard Chartered bank to sue them to recover Sh5.8 billion debt.

While the Standard Chartered suit was pending in the commercial court, NSK Oil filed a winding up petition against Dangote over inability to pay Sh5.8 billion.

Dangote reacted immediately by filing an application at the same court, pleading with the court to stop the winding up petition because it has a direct bearing to a case Standard Chartered had sued them.

“…this petition is intended to threaten the applicant (Dangote) and was filed with mala fide intended to embarrass, ridicule, and inflict irreparable reputational damage to the applicant. “Entertaining the winding up petition will be tantamount to turning this court into debt collection agent,” argued lawyer for Dangote,” argued Dangote through its lawyer.

NSK Oil strongly opposed the application, saying the case Standard Chartered had filed against them had no bearing with the winding up petition

In his recent decision, High Court Judge Stephen Magoiga said Dangote was justified to defend her interests by opposing the winding up process.

“I am of the strong considered opinion the this winding up petition has a strong bearing to the Commercial Case No. 7 of 2020 ( the case Standard Chartered Bank is suing Dangote and NSK Oil, hence, the call to restrain is justifiable,” said the judge.

Section 283 of the Companies Act, 2002 allows a company or creditor to apply for orders to stop winding up petition at any time before winding up order has been made.

“The winding up of a company amounts to legally killing and burying of the company and our parliament in its wisdom by incorporating the provision of section 283 of the Companies Act was meant to protect the process where the circumstances are so demanding. In this application, I find this is one of the fit cases for this court to exercise its discretion,” said the judge.

Source: The Citizen
 
Back
Top Bottom