Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,182
- 56,690
Mimi kuna jamaa tajiri ninamfahamu. Alifiwa na mke mwaka 2019.Alisema hataoa tena. Hataki kuweka wanae kwenye matatizo ya mirathi siku akifa.Mzee katengwa sio bure kwa kweli.
Mimi kuna jamaa tajiri ninamfahamu. Alifiwa na mke mwaka 2019.Alisema hataoa tena. Hataki kuweka wanae kwenye matatizo ya mirathi siku akifa.Mzee katengwa sio bure kwa kweli.
Jaqueline siyo tapeli, isipokuwa ni mroho. Yeye angetafuta suluhu na nam,na ya kugawana vizuri zile mali. Siyo achukuwe kila kitu, yaani watoto wengine wa mke mkubwa wa Mengi wakose kila kitu. Hiyo siyo haki.we kweli tahila, utapeli wakati amezaa na marehemu
Wewe unaongea kwa hisia na mihemko badala ya sheria. Pia hutofautishi mirathi na mgawanyo wa mali ndoa ikivunjika. Ile aliyopewa Mercy (35%) ni mgawanyo wa mali ndoa ilipovunjika. Hii ndiyo maana Mercy hayuko kwenye mirathi. Makosa niliyoyaona ni pale judge alipoirudisha ile 35% kwenye mirathi, hiimina maana mke mdogo anarithi mali ya mke mukbwa. Watoto wa Mengi pamoja na mke mdogo wana haki ya kurithi 65% iliyobaki.Naona Jackline anakitafuta kifo Kwa bidii kubwa.
Anaharibu future ya hao Watoto, huwezi kurithi tu utajiri Kwa MTU umemkuta na Mali zake na ana Watoto wakubwa, hakuna MTU anaweza kukubali upuuzi huu.
Ukiandika wosia tu, unaondolewa kabla ya muda.Unaweza kuandika wosia na wakaubadilisha vile vile, muhimu ukiwe njema kula maisha tu usijinyime ili kuwekeza alafu ukifa unaacha ugomvi
Ukitaka umafia unaagiza itman toka nje ya nchi (Congo, Kenya, Burundi, Rwanda, Malawi, Zambia, Nchumbiji, au Uganda. Akimaliza kazi unampa chake anatokomea kwao, nanyi mwamtafuta hapa lokale.Kwani kuuwa mtu ni lazima apigwe risasi?
Kuna Russian mafia wanauwa bila kuacha any tressing, unaijuwa Polonium poison?
Umeongea ujinga. Mbona kuna wengine wana watoto na hawawaachii mali?HV hawa watot wa mengi wanpeleka wapi Mali huku wait wenyewe Hakuna aliye oa na hawan watoto
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app