Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,861
- 7,332
Wewe ndo hujaelewa mkuu....watoto walitaka mama Yao apewe 50....lkn makubaliano ya awali ilikuwa 35...kwahiyo mahakama imebariki yachukuliwe makubaliano ya awali ambayo ni 35Naona jaji amekosea katika uamuzi wake, haiwezekani mgao wa Mke wa zamani wa Mzee Mengi Bi Mercy ambao ni hisa 35 zirudi kwenye mali za Mzee Mengi eti kwa vile tu walikuwa hawajakakamilisha hilo zoezi la kugawana wakati uamuzi ulishatolewa na mahakama na kuwa hukumu iliyokubaliwa na pande zote mbili (Mengi na Mercy.
Ni dhahiri kuna harufu ya rushwa.