GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Usalama gani. Uhuni tu.

Mbona kesi za huko nyuma wakati wa Nyerere pamoja ya hivi karibuni ya Mbowe hawakufichwa na hakuna kilichowatokea kwao....!!?
Mkuu, kuna dhana hii “start with the end in mind”. End game ni hii, Lissu kushinda kesi kwa sababu ya kukosa haki ya kupata vielelezo kutoka upande wa mashtaka na kutoweza kufanya cross-examination. Kwa hiyo utetezi wake utaleta mashaka katika shauri zima kwa sababu hizo na mashaka hayo hayataweza kuondoka hivo atakuwa hana hatia - na kuachiwa huru.

Lissu hatakiwi kushiriki siasa katika uchaguzi wa 2025. Ukipita atakuwa huru. Bado miezi kama mitatu atakuwa huru.
 
Mkuu, kuna dhana hii “start with the end in mind”. End game ni hii, Lissu kushinda kesi kwa sababu ya kukosa haki ya kupata vielelezo kutoka upande wa mashtaka na kutoweza kufanya cross-examination. Kwa hiyo utetezi wake utaleta mashaka katika shauri zima kwa sababu hizo na mashaka hayo hayataweza kuondoka hivo atakuwa hana hatia - na kuachiwa huru.

Lissu hatakiwi kushiriki siasa katika uchaguzi wa 2025. Ukipita atakuwa huru. Bado miezi kama mitatu atakuwa huru.
Hii kesi ya Madini inamuhitaji Lissu by force by fire
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi
Ni uwendawazimu ule ule wa siku zote. Kwa kweli huyu bibi na Mzoga wake, wanaivuruga nchi kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa!

Ni uharamia wa hali ya juu. Shahidi ambaye hajulikani, hahojiwi, unawezaje kuuamini ushahidi wake? Utathibitisha vipi, kama hao mashahidi siyo wa kutengenezwa na kufundishwa cha kusema?

Hii nchi tuna mashetani ambao sidhani kama ni rahisi kuwapata sehemu nyingine yoyote hapa Duniani!!

Na hii kesi, majaji, hakimu wote ni wa kutengenezwa, na wote ni wa majina ya huko huko kwake. Na hawa watu wenye vinasaba vya waarabu, kwao kuua ni maisha yao ya kawaida.

Wananchi tunatakiwa kusimama na kupinga uhuni wa huyu bibi na hawa watu wake waliotengenezwa na kutumbukizwa kwenye vyombo vya haki.

Dhuluma ikizidi katika Nchi, hofu ya kifo huondoka katika mioyo ya Watu. Mienendo ya Mahakama za Tanzania katika siku za hivi karibu imekuwa ikiibua mashaka Sana, Hali ambayo inawahamasisha Wananchi Wapenda Haki kuanza kufikiria njia zingine mbadala za kudai na kupigiana HAKI zao nje ya Mfumo wa Mahakama.
Wananchi wengi zaidi tayari wameshapoteza Imani dhidi ya Mahakama, balaae kubwa sana litakalofuatia ni Watu kuanza kudai na kupigiana HAKI na DEMOKRASIA kwa kutumia njia ambazo siyo halali za kufanya Mashambulizi ya Kujitoa Mhanga. Hatari kubwa ya namna hii tayari ipo njiani inakuja, ni suala la muda tu.

Ikumbukwe kwamba, kuibuka kwa matukio mabaya sana kama lile la Mohammed Hamza pale katika Daraja la Sealander Dsm chanzo chake ni pamoja na suala hili la Kupoteza Imani dhidi ya Serikali, Mahakama pamoja na Vyombo vya Dola. Kadiri dhuluma za kiutawala zinavyozidi, ndio kadiri Chuki kubwa inavyojengeka zaidi kwa Wananchi na ndivyo kadiri hofu ya kifo huondoka katika mioyo ya Watu. Kitakachofuatia ni maafa na umwagaji damu mkubwa Sana katika Nchi kwa kupitia kwenye Mashambulizi ya Kujitoa Mhanga kwa sababu Watu wataona kwamba hawana Cha kupoteza.
 
Tukiendelea kumchekea mzenji atatumaliza maana ana chuki binafsi na wabara. Mwenyezi Mungu tafadhali ingilia kati kuanzia majaji, mahakimu, ofisi ya DPP na kimama ikikupendeza wafutilie mbali maana wamekuwa maadui wa haki na wakandamizaji wa Taifa
Ameen
 
Mnajua wote kuanzia mtawala wa juu mpaka wa chini na mahakama.police,na wote wanaohusika,na hata watz wote na dunia yote wanajua Lissu hawez kuwa muhaini,haijawah tokea mtu mmoja akapindua nchi,acheni kuchezea kodi za wananchi maskini,hii laana itakula vizaz vyenu vyote,acheni kutumia nafas zenu kuonea watu,hasira ya Mungu ikiwaka mtafutika wote na vizazi vyenu.Namsihi Mungu aachilie mapigo yake juu ya kila anayeonea watu,hiyo pesa ya dhuluma iwaue kwa mateso makali
 
ACHA AKOME SI ANAJIFANYA ANAJUWA SANA SHERIA ATANYOOKA MWAKA HUU ATAHENYA
Tufanye anahenya enhe bibi yako kule namtumbo anapata matibabu safi na salama nanya uhakika , au nae anakufa kwa kukosa vifaa tiba huku mama na genge lake wakiendeleq kujinunulia v8 l300
 
Mimi ninayo imani kua lazma itumike kama inavyotakiwa.Alafu ndugu tuondoe hofu kua haki aiwezi kutendeka wakati mahakama zetu hizi hizi Lissu amekua akishinda kesi. NRNE
Tatizo ni pale wanapohairisha kila siku.. Tuendelee kuomba haki ishinde NRNE
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi

yule ambaye ni mtesi namba moja wa Lissu, atadedi. hivi karibuni
 
..Jaji ameamua mashahidi ambao ni RAIA watalindwa / watafichwa.

..Mashahidi kutoka VYOMBO VYA DOLA hawatalindwa / hawatafichwa.

..Inaelekea DPP alitaka afiche mashahidi wote.

..Na kwa tuhuma alizonazo Tundu Lissu nitashangaa kama kuna mashahidi ambao ni raia.

..Nina wasiwasi DPP anaweza asiridhike na hukumu akaamua kwenda Mahakama ya Rufani ili kuendelea kupoteza muda.
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi
Hii Ngoma mawakili wa lissu kama inawezekana wakakate rufaa, wasikubali kamwe, ushahidi wa kutengenezwa huo
 
Safi sana… uchaguzi ukiisha DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi na hapo ndio Chadema inakuwa ishajifia rasmi..

Chama kilikabidhiwa kwa washamba, mwema hazina Mmachame Lema ashaingia mitini ameona tone tone haziendi
Libaba zima kuandika upupu huoni haya?
 
..nadhani Lissu naye avae kininja.
Nimesikia maneno ya hovyo tu mitaani, eti wale wanaovaa kininja si Watanganyika. Eti kuna uvumi kwamba si askari magereza. Wamevuka Bahari kwa kazi maalumu, Lissu

Askari aliyepo kisheria ana sababu gani za kuficha sura? ndio maana watu tunaamini maneno ya mitaani

Kuhusu Mahakama.
Watanzania wana vichwa vya samaki au Panzi. Hivi Jaji Ibrahim Juma alipotamka kwamba Mahakama lazima itoe hukumu kwa kuangalia mihimili mingine inasemaje, mlidhani ana maanisha nini!

Mtu aliyetukosea sana Watanzania ni Jaji Ibrahim Juma. Jaji Juma aliifanya mahakama ''tawi la Chama na serikali'' haya yanayoendelea ni matokeo ya kazi ya kuidhalilisha mahakama. Anakula pensheni , who cares

Katika Majaji wakuu wote tangu nchi ijitawale, Jaji Ibrahim Juma ndiye aliyemaliza heshima ya mahakama.
Anakula pensheni kwa raha akishuhudia uharibifu alioutengeneza! Laana ya Mwenyezi iwe juu yake popopte alipo
 
Mahakama Kuu imeamuru mashahidi ambao ni raia wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, walindwe kwa maana ya kutoa ushahidi wao kwa kificho (bila kuonekana), majina yao kutokutajwa mahakamani wala taarifa zao zinazoweza kuwafanya wakatambulika, wao, familia zao, marafiki zao na watu wengine wa karibu yao.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 4, 2025 na Jaji Hussein Mtembwa kufuatilia maombi yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mshitaka (DPP), imezuia pia taarifa zao kusambaza, kuchapisha na kutangazwa na chombo chochote cha habari, bila ridhaa ya Mahakama.

Lissu, ambaye anakabiliwa na kesi ya uhaini alikamatwa Aprili 9, 2025 akiwa kwenye mkutano wa CHADEMA huko Mbinga kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam na baadaye kupandishwa kizimbani Aprili 10, 2025.

Chanzo: Mwananchi
BAADA YA HII TAARIFA NINEMUONA MBOWE AKIPIGA PAFU 10 ZA NGAGI KWA FURAHA ...
 
Niliandika hivyo, kuwa Lissu hasipoteze muda kwenda mahakama ya rufani akubali mashahidi wa Siri wakishamaliza kubwabwaja hasiwaulze chochote means no cross examination,hii itafanya kesi iende chap, na tuone hio hukumu.
Hawa CCM na uhuni wao wanakunyonga mchana kweupe. Na adhabu inatekelezwa haraka........usisahau ndo waliomlamba zaidi ya risasi 30.
 
Back
Top Bottom