beberu la mtaa
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 682
- 1,665
Kukosea katika lugha isiyokuwa yako haliwi kosa kitaalam,
Case ni nyingi kazi za mahakama ni nyingi hawawezi kusoma kila kitu lakini, karani anaajiriwa kwa kazi hiyo mkuuHapo nimekusoma ,sasa nichangie .
Hizi mahakama zinaajili vilaza kabisa aisee yaani karani anachapia kiasi hiki na wao wapo kimya kweli ?
Hii nchi yetu inachekesha sana
HAtunayo
Haa Mkuu Umepiga Long Range Missile GoliniSubiri field yako ikifika utachangia😂😂😂 hapo ni lugha gongana huoni 11th yeye kaweka 11st😆
Now that Tundu Lissu is reaping the consequencesWhen stupidity is considered patriotism, it is unsafe to be intelligent
Kabla ya kuwa released inabidi mtu mwenye dhamana ya kuisaini aipitie, ndiyo maana kuna hiyo saini kwamba mtu kasoma kila kitu na kakipitisha.Lakini hiyo ni kazi ya karani jamani, hapo amesema you must produce on that day nini?😅
Ni ile kuwa na mazoea tuKabla ya kiwa released inabidi mtu mwenye dhamana ya kuisaini aipitie, ndiyo maananua hiyobsaini kwamba kasoma kila kigu na kakipitisha.
Sasa huyo aliyetia saini kasoma au katia saini tu?
Kasoma akaona makosa na kusaini tu, au amesaini bila kusoma, au kasoma na hakuona makosa?
Yote majanga hayo.
Umekubali kuwa kuna tatizo kwa aliyesaini, hili si tatizo la karani/ katibu muhtasi aliyechapisha barua tu?Ni ile kuwa na mazoea tu
😍🙏Lakini si mmeelewa au.
Tatizo lipo kwa kila aliyeigusa maana huwezi kukosea kuandika tarehe mpaka lugha na ni page ya mbele.. isingesainiwa na parties woteUmekubali kuwa kuna tatizo kwa aliyesaini, hili si tatizo la karani/ katibu muhtasi aliyechapisha barua tu?
Mahakama tunayo, hizo ni typo tuu, japo ni kosa la karani, the judge should have seen it!, don't make a big deal out of this.
Mahakama tunayo, hizo ni typo tuu, japo ni kosa la karani, the judge should have seen it!, don't make a big deal out of this.
Kuna ma serious issues za Mahakama
- Kufuatia Kuteuliwa kwa Hisani, Baadhi Wanashindwa Kutenda Haki Kuepuka Utovu wa Fadhila!, CJ,Majaji Waombe Kazi, Wasailiwe, Wenye Uwezo Ndio Wateuliwe
-
P
Kuna Mahakama hapo, hizi ndio Mahakama zetu, tukiendeleza the colonial legacy kupalatia lugha za wakoloni huku hatuziwezi..Kujibu swali lako, hakuna mahakama hapo.
Nilijua huu utetezi utatolewa kabla haujatolewa.Kuna Mahakama hapo, hizi ndio Mahakama zetu, tukiendeleza the colonial legacy kupalatia lugha za wakoloni huku hatuziwezi. Mahakama ya Tanzania ndio nchi ya kwanza ya Afrika south of Sahara kutumia AI real time interpretation system wakasema sasa kesi zitaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili na hukumu zitakuwa za Kiswahili, mbona bado tunakumbatia kizungu.
P
CCM imeamua haitakufa peke yake bali itakwenda kaburini Kizimkazi na taasisi zote za dola, Mahakama, Bunge, Jeshi nk
Isaac AsimovWhen stupidity is considered patriotism, it is unsafe to be intelligent