Sajo
Platinum Member
- Nov 8, 2010
- 4,447
- 7,946
Kwani unapouliza kuhusu hiyo nyaraka, unauliza uhalali wake kwa nyakati zote au kwa wakati mtu alioandaa hiyo nyaraka??Logic ya kuandika jina la wakili au msajili ni ipi wakati hao sio permanent kwenye hizo taasisi.
Hiyo Document imeandaliwa na Mahakama sio mtu jina la mtu la kazi gani?
Huyo msajili anaweza ondolewa hiyi nafasi muda wowote.
Hapo anayeita ni mahakama sio mtu.