Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Aibu kubwa sana
Narudia tena, tuna Jeshi la ajabu mno na linatia aibu sana sana, wamemshikilia kwa siku kibao, Mawakili wa Chadema wameenda mahakamani, Polisi wameona mambo yanakua magumu wamemuachia...
Wewe Mbwa mwitu kuna mamlaka tanzania au kuna mbwa wa porini wanaojeruhi watu wakijiita jina takatifu polisi.Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!..
Neema ,pitia Mawakili wake wawafungulie kesi KWa majina yao police katika kituo alichokuepo,yani unamuweka mtu ndani 15 day bila kosa alafu unamuachia kiraisi tu, hili halikubaliki , wabuluzwe tu mahakamaniPolisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!..
Polisi hawa wajaabu dunia mzima hakuna!
Kwa kifupi, hii serikali inastahili vikwazo kwa uvunjifu wa haki za binadamu.
Maria Space ya Twitter imejibu machawa wamerekodi na kuwapelekea Wazee,Dickson Matata na wenzie walivyopeleka Horbui Corpus wakaamua kumuachia hawa watesi.Kwahiyo polisi ndio wanajua sheria?
Hivi unaelewa ni muda gani mtu baada ya kushikiliwa anatakiwa afikishwe mahakamani?
jingalao na Troll JF tangu Magu amekata kamba siwasikii kabisa 🤣🤣Unafanya kosa kubwa sana ndugu yangu, kuyajibu hayo matakataka ya mikesha ya mwenge ni kuyapa umaarufu wasiostahili. Mengine haya hapa;
Kama jina lako halipo na unajiona una sifa zote za kuunganishwa katika orodha hii nitumie ujumbe, nitafanya hivyo chap chap!
- Wakudadavuwa
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- Kamanda Asiyechoka
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- JUMA JUMA
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Ezekiel Mbaga
- Latvia
- Iboya2021
Chadema imepuuza maelekezo ya Lissu kwamba Chadema isiweke dhamana wala kufanya lolote kwa mwanachama wao anapokamatwa na polisi?Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!
Mawakili wetu muda huu wamepata 'summons' (wito) ya kesi ya Neema Sakalile Mwakipesile. Ni case Number 156 ya mwaka 2021 imepangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM.
Hatua hii imekuja baada ya Mawakili wake kuripoti Mahakamani unlawful detention ya mteja wao na wakaiomba mahakama kutoa amri ya kuletwa mbele ya Mahakama. Kisheria inaitwa "Habeas corpus"
TISS si ndiyo walikuwa wakimtumia ZZK enzi Zile Bungeni wapewe meno ikiwemo kukamatwa na kushitaki...vipi ilitungwa Sheria??Jana kwenye Space hili jambo lilijadiliwa kwa kirefu jinsi walivyonyanyasa Dada wa Watu bila kosa...
Kwamba Jeshi la Polisi linajua zaidi Sheria??kamwe Demokrasia ya Vurugu haikubaliki ktk nchi hii ya Tanzania.
Vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kamwe havito mvumilia mtu yeyote yule atakaye jifanya yeye anaijua sheria zaidi ya Jeshi la polisi...
Wala hao polisi hawajali maana maagizo ya kumtesa wameshayatekeleza. Ilitakiwa Mkuu wa kituo cha polisi alipokuwa anashikiliwa afunguliwe mashtaka na kuwekwa ndani kwa kuvunja sheria ya kumshikilia mtu bila kumfikisha mahakamani, au kuwapa dhamana.
Haya.Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU...
Watukutu kwa nani na wa aina gani. Hata shuleni mwanafunzi anayepigania haki huonekana mtukutu. Mtoto akienda kinyume na baba mzembe ataonekana mtukutu. Nchi ya makondoo au wa ndio mzee haipimiki,!ifikie mahala sisi raia na haswa wafuasi na wanachama wa chadema waache vurugu na kujiona wao wana haki kuliko watanzania wengine.
kwa utukutu walio nao chadema naunga mkono hatua zinazo chukuliwa na Jeshi la Polisi...
Seems badoTISS si ndiyo walikuwa wakimtumia ZZK enzi Zile Bungeni wapewe meno ikiwemo kukamatwa na kushitaki...vipi ilitungwa Sheria??
Haya.
Uonevu wa namna hii uliodhahiri kabisa, kiongozi wa nchi unakubali uchafu wa aina hii uendelee chini ya uongozi wako, bado unajigamba kuwa unaongoza kwa HAKI!
Wamenyonshwa akina Musiba nyie wabwekaji wengine hamna impact yoyote.Kelele zote upo humu JF, kisutu huonekani.