Mahakama ipi? Na hilo tushukuru tu ni Nguvu na Neema ya Mungu wao kama wao hawana muda na mambo ya haki.Hivi ingetokea Polisi wamegoma kumuachia na kesho wasingeenda Mahakamani Mahakama ingekuwa na uwezo wa kuchukua hatua gani.
Nahitaji kuelewa tu.