Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Maendeleo hayaletwi na kingereza bali lugha yoyote kama Wachina, Wafaransa,Wajerumani walivyopata maendeleo bila kujua Kingereza. Ziko nchi nyingi kingereza kwao sio ujiko lakini maendeleo safi!!!!!!!!!!!!!

Hapa ni Kazi tu na Kiswahili kitasambaa mpaka Africa kote in the next 10 Yrs hujawahi kuona.
 
Catalyst ni msamiati pendwa sana. Unatokeza karibu kila wakati.
 
Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Kama ni hivyo si angeenda na Translator mpaka Rais wa Zimbabwe ndio afanye hiyo kazi. Ni kukosa umakini kama taasisi kubwa, kama unajua kiingereza haukimudu jiandalie mazingira ya kuwezesha kuwasiliana na wenzako.
 
Haina shida maana sijawahi kumsikia Putin ama rais wa china akiongea lugha ya kigeni
Kama anajua hawezi kuongea lugha ya kigeni kwa nini asibebe mtu wa kuwa anatafsiri anachoongea. Sasa hapo mpaka Rais wa Zimbabwe atafsiri tena inawezekana na yeye kimebaki kidogo. Wanatuuliza mmekuja na mfasiri? Aibu tupu
 
Maendeleo hayaletwi na kingereza bali lugha yoyote kama Wachina, Wafaransa,Wajerumani walivyopata maendeleo bila kujua Kingereza. Ziko nchi nyingi kingereza kwao sio ujiko lakini maendeleo safi!!!!!!!!!!!!!

Hapa ni Kazi tu na Kiswahili kitasambaa mpaka Africa kote in the next 10 Yrs hujawahi kuona.
PhD hapa nchini inafundishwa kwa Kiswahili?
 
Watu kama wewe mara nyingi mnakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na pia mnakuwa na mawazo mgando sana.... Too negative

sasa kwani kushindwa kujua kiingeleza na kushindwa kufanya Mawasiliano.?
Hakuna watafasiri wa Lugha?
Mbona wachina na mataifa mengine Km India huja hapa Tanzania na watafasiri kufanya Mawasiliano??

Watu wengine Km wachawi vile? Hakuna hata siku moja mnakuwa na mawazo positive.... Always negative tu...
Kwa nini speech ya kuandikwa ilikuwa kwa kiingereza ila alivyoongea na waandishi wa habari alishindwa kutumia kiingereza? Kwa nini basi asibebe mfasiri? Ni aibu kubwa, communication ni kitu muhimu sana. Sasa Phd kuface media kwa kiigereza ni mtihani.
 
Jamaa anajificha kwenye uvungu wa kukuza kiswahili, wajanja tunampimia tunachekaaaa, tunanyanyua chupa bia tunakunywa, tukiitua mezani ndo tunalopoka......"ingekuwa hivyo si angeanzia kukikuza nchini mwake kwanza, mbona ofisi za serikali zinawafanyisha watu intavyuu kwa kiinglishi"!!!!
😛😛😛
 
Mimi nafahamu Kiswahili na Kiingereza, na lugha zote ninazimudu vizuri! Lakini ukweli ni kwamba maarifa ya shule niliyapata kwa Kiingereza!
Huna lolote lile. Kudonyoa donyoa lugha ni dalili ya kutokufahamu kwa ufasaha.
 
Back
Top Bottom