Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Nguvu za giza zinabeba watu hata wasiofaa kabisa.Waziri mkubwa huenda walikuwa ni baadhi ya Mawaziri, lakini hakuwa waziri Mkuu, ila kwa kiherehere cha Magu huenda alichukiwa na wengi ,na LAITI angechukiwa NA waziri Mkuu enzi hizo angeishia msmu wa kwanza wa unaibu uwaziri, ila hata hivyo nguvu za giza zinasaidia.
Watu waovu huwa wako very strategic na wanajua nini wanataka, ndio maana huwa wanajipanga au kupanga watu kwenye diverse post ikiwamo kwenye mifumo ya kiserikali.Watu wa Aina ya JPM ni vigumu kudumu na kuishi Kwa muda mrefu, Kwani watu wapenda Dunia hawajawahi kulidhika na biashara zao haramu, hutafuta kila Wakati kuondoa watu wenye kipingamizi, na watu hao ndio wengi kuliko wapenda haki, ulizia hata maofisini Kwa viongozi wenye vyeo Vya kawaida tu watakwambia
We upo Tanzania ipi?Magufuli ni mtu wa kusamehe, hana kinyongo
.Poisoned survived to tell a tale
30 bullets survived to tell a tale
Humu kuna manabiiDuuh!
Ccm inaongoza kwa siasa mbovu dunianiKweli Mkuu Mzee anafunguka makubwa mno
Siasa kitu kibaya sana kwakweli,hasa Afrika
Sasa alishindwa nini kumsamehe ben sanane had akampoteza na haonekani hadi sasa , hata hivyo alishindwa kabisa kumsamehe tundu lisu had akatuma watu wamtandike risasi za kutosha?Magufuli ni mtu wa kusamehe, hana kinyongo
Bwana ametenda maajabu....umefuraa huamini pum...bvKweli Mkuu Mzee anafunguka makubwa mno
Siasa kitu kibaya sana kwakweli,hasa Afrika
Au Corona imepita nayeHivi huyu Kawe Alumni yupo kweli maana ni muda toka wakati wwa Kura za maoni pale Kawe 2020 hajaonekana tunasubiri Pole/maoni yake Msibani