Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,076
- 15,833
Umejibu vizuri mkuu,pia inawezekana mkubwa kwa umri kati ya mawaziri wote waliokuepo.
Aisee ila pia ikawa ni Wizara Kubwa kwa maana ya kimajukumu na unyeti wake Mfano Wizara ya TAMISEMI au Mambo ya Nje.
Na Waziri atakuwa mkubwa kwa kuwa Wizara nayo ni kubwa