Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

uyi rais kama wewe ni mdadisi mzuri akiwa anaongea kwenye tv mfuatilie vizuri movments zake na gestures zake.. utagundua kuwa anaongea anachokifahamu na pia anajitahidi sana kukaushia mambomengi sana ambayo pengine akiyamwaga hadharani hapatakalika hapa..
wengi wanamwona mkurupukaji lkn kiukweli jamaa ana details nyng mno..
 
Naona ndugu yangu Feleshi akipitia kipindi kigumu sana.
Reputation aliyoitengeza na watu kuamini kuwa ofisi ya DPP inafanya kazi nzuri naona ikiporomoka
 
One man show is a real disaster to the nation. Why can't he opt for a harmonised constitution? Cheap popularity doesn't get us any where. Mind you

Harmonized constitution does nothing in the face of weak leaders and incompetence. Where is Kenya's new constitution hullabaloo?? We need to build human capacity first and the President is doing the right job. Constitutions are writings on papers and saves nothing if you have JK style leaders in state house!
 
Anasema DPP aliondoa makosa 19 ambayo yangewafunga watuhumiwa na kubakiza kosa moja,baadae alienda kwa JAJI kulalamika na kuongezwa na kuwa matatu, mchezo ulichezwa ofisi ya DPP ili serikali ishindwe Kesi.

Tujiulize ofisi ya DPP imecheza Michezo mingapi? kwa kesi mbali mbali sio kwa serikali tu ata kwa raia wema.
 
Kuna yule marine lawyer aliyesimamia kesi ya wale wachina mpaka wakachomoka.jamaa alipewa mpango mrefu sana.na watoto wake wakasomeshwa bure china.
 
Kwa hiyo Magu yeye ni jaji ?
Alichukua hatua gani baada ya kuona kahujumiwa na DPP ?
 
Inawezekana sijielewi!

Mimi ninafahamu Rais ni Rais na Rais wa Tanzania ana mamlaka ya Rais wa Tanzania kama yalivyoainishwa katika Sura ya Kwanza na Sura ya Pili ya Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 specifically kuanzia Ibara ya 33-46.

Naomba unielimishe ili nijielewe!

Rais hapaswi kulalamika...Rais ana mamlaka juu ya vyombo vyote anavyovisimamia...sasa akitueleza sisi malalamiko yake kuhusu DPP sisi tumsaidie nini?
 
Ni kweli aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Rais hawezi kumtumbua Jaji wa Mahakama Kuu kwa sababu huo ni muhimili mwingine wa Dola.

Suala la kumtumbua Jaji wa Mahakama Kuu lipo mikononi mwa Jaji Mkuu wa Tanzania na kuna procedures zake ndefu.

Jaji mkuu anateuliwa na nani? hivi hizi akili huwa mnazitumia kufanya nini?

Ukijibu jaji mkuu anateuliwa na nani...tafuta jibu la je rais hawezi kumwondoa jaji yeyote aliye chini ya jaji mkuu?
 
Ofisi ya DPP haitakiwi kuingiliwa, lakini pia kitendo cha kwenda kushtaki kwa Jaji mkuu ili makosa yaongezwe hilo ni shinikizo kwa Mahakama na siyo kazi ya Jaji Mkuu kutunga makosa au kushinikiza makosa halafu mahakama ije iyaamue!. Some lines shouldnt be crossed, Ndiyo maana tunasema kubadili mifumo ni sehemu ya njia sahihi. je kauli hii ya raisi inatuma meseji gani Kwa DPP?, ni meseji kwamba look " The big brother is watching you right now, Ukishindwa kuweka makosa ya kuwafurahisha wakubwa, basi utakuwa umefanya makusudi wewe!!!" hii ni hatari kubwa
 
Hatuna uhakika na alichokizungumza magufuli, hatuwezi kuwalaumu DPP kwa sababu wao hawajaongea lolote. Lakini pia magufuli kwa wakati huu ana nguvu, analoongea sisi tunalichukua na hakuna mtu wa kumpinga magufuli kwa sasa, tusiwe watu wa kulaumu bila ya kujua ukweli upo wapi
 
Ofisi ya DPP haitakiwi kuingiliwa, lakini pia kitendo cha kwenda kushtaki kwa Jaji mkuu ili makosa yaongezwe hilo ni shinikizo kwa Mahakama na siyo kazi ya Jaji Mkuu kutunga makosa au kushinikiza makosa halafu mahakama ije iyaamue!. Some lines shouldnt be crossed, Ndiyo maana tunasema kubadili mifumo ni sehemu ya njia sahihi. je kauli hii ya raisi inatuma meseji gani Kwa DPP?, ni meseji kwamba look " The big brother is watching you right now, Ukishindwa kuweka makosa ya kuwafurahisha wakubwa, basi utakuwa umefanya makusudi wewe!!!" hii ni hatari kubwa
Wengi hawataki kuisikia hii kauli. Ni hatari sana kwa watu kuingilia hizi mamlaka.
 
Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.

Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
Nilishawahi kusema kuwa Rais Magufuli ni mtu straight forward, kuna mtu fulani akaanzisha ligi ya majibizano yasiyokuwa na msingi wowote. Rais amekwazwa sana na aina ya watendaji wengi tulioanao. Watu waliooza kwa kuendekeza rushwa na makundi ya majungu.
 
Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.

Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
sasa...tunatakiwa kutoa final solution..kwa overhauling ya jinsi ya kushitaki...sio lazima kesi zote zi originate kwa DPP...ili kuwe na ufanisi wa juu zaidi...other organs/lawyers waweze kushitaki pia..onbehalf of the public...hapa naona tatizo bado halijatatuliwa..bado liko pale pale...rushwa kidogo tu..kwa office ya DPP...basi makosa yako..mengine...yanafichwa na kupelekwa makosa dhaifu tu!
 
Mahakama zetu nazo zisiwe rigid, mabilioni yalitumika kuwahifadhi wasiharibike eti kisa kutunza ushahidi, wakati ushahidi unaweza kupigwa picha ya video

Mkuu,

Wapumbavu wapo katika fani na ngazi zote, wasomi na wasio wasiosoma.
Upumbavu mbaya na wenye madhara kuliko wote ni ule wa wasomi watumishi wa uma ambao mara nyingi hukariri taratibu na sheria bila kujali hasara au faida.
 
Ninaamini umesoma tu heading na kutoa comment!

Ni wapi Rais amelalamika?

Soma thread nzima kwa uangalifu ili uelewe vizuri au angalia video niliyoweka kwa msaada zaidi.
Sijasome thread yako tu, bali nina mpaka clips kwani muda ni tofauti, lakini hakuna jipia aliloongea ambalo Watz hawajui, hivyo angekuja kuwaambia ameshafanya sio nitafanya au hayo makosa yalifanywa!!! viongozi wa Tz wanasema sana lakini sio watendaji na wafanya vitu vidogo sana ambavyo vina faida kidogo sana kwa watu na wanataka kusifiwa sana!!
 
sasa...tunatakiwa kutoa final solution..kwa overhauling ya jinsi ya kushitaki...sio lazima kesi zote zi originate kwa DPP...ili kuwe na ufanisi wa juu zaidi...other organs/lawyers waweze kushitaki pia..onbehalf of the public...hapa naona tatizo bado halijatatuliwa..bado liko pale pale...rushwa kidogo tu..kwa office ya DPP...basi makosa yako..mengine...yanafichwa na kupelekwa makosa dhaifu tu!

Kisheria DPP amepewa madaraka makubwa sana.

Anayofanya DPP hatuwezi hata kuhoji kisheria.

Labda tuachane na hii system ya India/Uingereza na tuwe na system ya USA
 
Uamuzi wa kukurupuka ndio umetuingiza hasara ya mabilioni ya dola kama fidia
 
Back
Top Bottom