Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Huyo DPP alie husika na kesi ya samaki wa Ma[emoji356] ajiandae kutumbuliwa tua aiseee....
Amepandishwa cheo mkuu
Tatizo litakuja pale atakapotaka kuonyesha shukrani
 
Rais akiongea na viongozi wa juu wa jeshi la polisi ameeleza jinsi serikali ilivyoshindwa kesi ya samaki. Eti makosa yalikuwa 19, cha ajabu DPP alipeleka moja tuu. Magufuli akalalamika kwa mwanasheria mkuu, wakapeleka tena mengine matatu na jamaa wakashinda kiulaini.

Kituko kingine, eti kuna mke wa waziri kamtukana traffic polisi wakati kitekeleza majukum yake, rais ameagiza hyo askari apandishwe cheo na pia ameshaongea na hyo waziri kumuonya.

Rais ameongea kwa uchungu mambo kibao yanayoumiza yaliyokuwa yakifanywa na baadhi ya askari wachache na kusababisha hasara kubwa kwa taifa.

Chanzo: Kipindi cha Makala ya Rais, TBC.
Hivi ccm ndani yake kuna vyama vingapi ?
 
Hivi ccm ndani yake kuna vyama vingapi ?
Hakuwa akimfahamu vyema, kuna uzi humu tafuta watu walimwambia JPM kwa nchi hii hakuna mwanasheria mchapakazi na muadilifu kama Feleshi, usipoweza fanya kazi na huyo na we ni muadilifu hayupo utaeweza fanya nae kazi.
 
Back
Top Bottom