Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Acha kuwafanya watanzania wote wajinga! Kwani kabla ya kukamata hizo fish hakumjua DPP wa nchi yake. je, hiyo ilikuwa kesi yake ya kwanza kushindwa? Mbona ile ishu ya kugushi nyaraka ya umeya dar haisemei! au atailalamikia akishamaliza awamu yake. Hisia zinawafanya watanzania kujiona kama wameamka kumbe bado wako kwenye usingizi mzito!

Wew jamaa ni mjinga kweli yaani inabidi watu wa kuingia humu jf wawe wanachujwa maana unatia kinyaaa!!!!!!
 
Wew jamaa ni mjinga kweli yaani inabidi watu wa kuingia humu jf wawe wanachujwa maana unatia kinyaaa!!!!!!
Watu wa kawaida wana tabia kama hii. Uko sahihi siwezi pinga, ikizingatiwa hata kichaa/fools huwa hawaamini kuwa wao wako hiyo na ni rahisi kuwaita wengine majina hayo. Hata hivyo ni ngumu sana mtu kujitafakari kwa kina then akajifahamu kuwa yeye ni mjinga labda moyoni lakini ni nadra pia kumwona mtu anajisema mwenyewe madhalani "mimi mjinga sana" kwa sababu hata wajinga huwa wanafikiri kuwa wao ni watu muhimu katika jamii kuliko wengine.
 
Huu uzi wa zamani ila wameusahau kwa sasa siyo DPP tena ni Lissu.
 
Dr. Eliezer Feleshi ndiye alikuwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) aliyetuhumiwa na Rais John Pombe Magufuli mwaka 2016 kwa kuichezea kesi inayojulikana kama kesi ya ''samaki wa Magufuli'' na kuifanya serikali ishindwe mahakamani.

Rais aliyasema hayo mwaka 2016 wakati alipokuwa akifungua kikao cha kazi cha makamanda wa polisi wa mikoa, mawakili wafawidhi wa serikali wa mikoa na wakuu wa upelelezi wa Mikoa.

Rais Magufuli alisema DPP (Eliezer Feleshi) aliondoa makosa 19 ambayo yangewafunga watuhumiwa na kubakiza kosa moja lakini baadaye yeye, Waziri Magufuli, akaamua kwenda kulalamika kwa Jaji Mkuu ambapo baadaye yaliongezwa na kuwa makosa matatu.

Rais amesema huo mchezo ulikuwa unachezwa kwenye ofisi ya DPP ili serikali ishindwe Mahakamani kwa sababu ambazo anazifahamu DPP, Eliezer Feleshi. Cha kushangaza DPP Eliezer Feleshi akateuliwa na Rais Kikwete mwaka 2014 kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Pamoja na hayo Dr. Eliezer Feleshi hivi sasa ameteuliwa na huyo huyo Rais John Pombe Magufuli kuwa Jaji Kiongozi! Uteuzi huu kwa kweli umewaacha wananchi wengi wakijiuliza kulikoni!

cc: [B]JokaKuu[/B].
 
Dr. Eliezer Feleshi ndiye alikuwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) aliyetuhumiwa na Rais John Pombe Magufuli mwaka 2016 kwa kuichezea kesi inayojulikana kama kesi ya ''samaki wa Magufuli'' na kuifanya serikali ishindwe mahakamani.

Rais aliyasema hayo mwaka 2016 wakati alipokuwa akifungua kikao cha kazi cha makamanda wa polisi wa mikoa, mawakili wafawidhi wa serikali wa mikoa na wakuu wa upelelezi wa Mikoa.

Rais Magufuli alisema DPP (Eliezer Feleshi) aliondoa makosa 19 ambayo yangewafunga watuhumiwa na kubakiza kosa moja lakini baadaye yeye, Waziri Magufuli, akaamua kwenda kulalamika kwa Jaji Mkuu ambapo baadaye yaliongezwa na kuwa makosa matatu.

Rais amesema huo mchezo ulikuwa unachezwa kwenye ofisi ya DPP ili serikali ishindwe Mahakamani kwa sababu ambazo anazifahamu DPP, Eliezer Feleshi. Cha kushangaza DPP Eliezer Feleshi akateuliwa na Rais Kikwete mwaka 2014 kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Pamoja na hayo Dr. Eliezer Feleshi hivi sasa ameteuliwa na huyo huyo Rais John Pombe Magufuli kuwa Jaji Kiongozi! Uteuzi huu kwa kweli umewaacha wananchi wengi wakijiuliza kulikoni!

cc: [B]JokaKuu[/B].

Ilikua ni funika kombe mwanaharamu apite.
 
Hahahahaaa Magu acha kuzuga na mambo ya kesi, kama hasara umeshatupa na hatuta lisahau hili na nyumba zetu ulizogawa ovyo ovyo na Mv dar, tutapambana tuondoe kinga ya rais kushtakiwa kwenye katiba mpya,!! Nakushaur pambana mfumuko wa bei, watanzania wamechoka na comedy za majipu
Mbona waliouza madini yetu kwa bei ya kutupa hamjawashtaki?Na hizo numba mnajuaje hajatumwa na mzee kuziuza.Mna shida sana nyinyi.
 
Hahahahaaa Magu acha kuzuga na mambo ya kesi, kama hasara umeshatupa na hatuta lisahau hili na nyumba zetu ulizogawa ovyo ovyo na Mv dar, tutapambana tuondoe kinga ya rais kushtakiwa kwenye katiba mpya,!! Nakushaur pambana mfumuko wa bei, watanzania wamechoka na comedy za majipu

Huyu ni sawa na shetani hupenda kujikosha kwa maovu anayofanya,alichoona ni samaki ila nyumba alizouza tena kwa vimada kule ubungo na matumizi ya hovyo huko TANROAD anajifanyiza msafi, huyu ananuka ufisadi kama mzoga wa fisi mfyuuuuu
 
Ilikua ni funika kombe mwanaharamu apite.
Kaburi limefukuliwa, naziona skeletons zileee!
Ila kiukweli wonders haziishi ndani ya bongo
Swali linaloumiza ni hili...kigezo gani kimetumika kumteua Dr. Eliezer Feleshi kuwa Jaji Kiongozi baada ya hii tuhuma nzito iliyotolewa na mteuzi? Kikwete alilaumiwa kwa kumpa Ujaji Dr. Eliezer Feleshi baada ya serikali kushindwa kesi ya samaki wa Magufuli lakini leo Magufuli kumpandisha cheo hadi Ujaji Kiongozi kunatupa funzo gani?
 
FELESHI ALIKUWA MRA RUSHWA NO MOJA.HALAFU WALE WACHINA WALIKUWA WANAVUA KWA BARAKA ZA IKULU.MAGUFURI ALIKUWA ANAPIGANA VITA AMABAYO MKUU WAKE WA KAZI ALIKUA AKIIFADHILI.NDO MAANA KATI YA MAKOSA 19 DPP ALILAZIMISHWA YAPELEKWE AMAKOSA MAWILI ILI SERIKALI ISHINDWE NA MAGUFURI AONEKANE NI MKURUPUKAJI.KUMBUKA KIKWETWE,LOWASA NA MAMEMBE WALIKUWA HAWATAKI UTENDAJI WA MAGUFURI KWANI ALIKUWA ANAWAFUNIKA HIVYO KUANZA KUMHOFIA KATIKA SAFARI YAO YA KISIASA
Feleshi ni nani kwa sasa?
 
Swali linaloumiza ni hili...kigezo gani kimetumika kumteua Dr. Eliezer Feleshi kuwa Jaji Kiongozi baada ya hii tuhuma nzito iliyotolewa na mteuzi? Kikwete alilaumiwa kwa kumpa Ujaji Dr. Eliezer Feleshi baada ya serikali kushindwa kesi ya samaki wa Magufuli lakini leo Magufuli kumpandisha cheo hadi Ujaji Kiongozi kunatupa funzo gani?
Funzo ni moja kuwa watanzania tunatumiwa kama vikorogosi.
 
Funzo ni moja kuwa watanzania tunatumiwa kama vikorogosi.
Kosa si kosa bali kurudia kosa na Watanzania tunaonekana tumefuzu katika kurudia kosa...kila baada ya miaka mitano tunarudia makosa yale yale. Niliwahi kumuuliza ndugu yangu moja tunayetofautiana kiitikadi kwa nini hasa Kikwete aliongezewa awamu ya pili baada ya kuboronga awamu ya kwanza. Akanijibu kuwa ni utamaduni wetu Rais wa Tanzania kuongezewa awamu ya pili...nilichoka!
 
Feleshi hapa anasemwa,Feleshi jitokeze kaka ,ni kweli uliichezea ile kesi ya samaki?
..inaelekea HAKUCHEZEA hiyo kesi. Ni ustadi wa Wakili Erasmus Denis na wenzake walioifanya Kampuni ya Kichina Ishinde kesi. Si umemwona jaji Flesh kawa Fresh?
 
Rais akiongea na viongozi wa juu wa jeshi la polisi ameeleza jinsi serikali ilivyoshindwa kesi ya samaki. Eti makosa yalikuwa 19, cha ajabu DPP alipeleka moja tuu. Magufuli akalalamika kwa mwanasheria mkuu, wakapeleka tena mengine matatu na jamaa wakashinda kiulaini.

Kituko kingine, eti kuna mke wa waziri kamtukana traffic polisi wakati kitekeleza majukum yake, rais ameagiza hyo askari apandishwe cheo na pia ameshaongea na hyo waziri kumuonya.

Rais ameongea kwa uchungu mambo kibao yanayoumiza yaliyokuwa yakifanywa na baadhi ya askari wachache na kusababisha hasara kubwa kwa taifa.

Chanzo: Kipindi cha Makala ya Rais, TBC.
Mungu ibariki JF
 
Back
Top Bottom