Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Sasa kama muda ulikwisha hawezi kuniaminisha mm great thinker kuwa eti sijui nani alifanya ashindwe kesi. Labda ni njia ya kujisafisha ili aonekane anamaamuzi mazuri ambayo hayaliingizi taifa kwenye hasara. Vipi kuhusu sukari? Nani kasababisha emefeli? Msiongozwe na ushabiki. Lazima Muwe mnatumia akili zenu
mkuu sukari imefanyaje hujui kama ilikiwa miradi ya watu na sasa serikali itaagiza kwa utaratibu maalumu
utakaoisaidia serikali?
kuwa makini nchi ilishakuwa shamba la bibi?
 
Tatizo mnakurupuka kuchangia mkiwa na uwezo mdogo wa kufikiri. Swala la sukari nadhani rais alilifafanua vizuri ila kwa watu mburura kama wewe huwezi kujiongeza.
Wewe ndo hujiongezi. Hivi maigizo yote hayo bado hujashtuka? Yaani mlishabikia sana Suala la sukari ya nje kuto kuingizwa nchini. Mkafikia hata kumhoji yule mama wa watu wa ile kamati bungeni eti amepata wapi jeuri ya kupingana na kauri ya rais. Leo hii aibu zimewajaa sijui mnaanzia wapi kushangilia wakati mlishashangilia uzuiaji. Yaani sijui mnaakili gani zisizo jiongeza
 
mkuu sukari imefanyaje hujui kama ilikiwa miradi ya watu na sasa serikali itaagiza kwa utaratibu maalumu
utakaoisaidia serikali?
kuwa makini nchi ilishakuwa shamba la bibi?
Kwani kizuizi kilikua serikali iagize au sukari ya ndani inatosha? Angalia na wewe usije ukawa umekurupuka kunijibu. Maana tupo kwenye soko hulia
 
Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.

Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
Ndio hivyo kipindi hicho ilikuwa Ni sawa na kwenda kushitaki kwa Chui kwamba fisi kala mbuzi wako.
Kila mtu alikuwa analalamika tuuu, Rais, PM, mawaziri nk nk, ilikuwa Ni kama nyoka aliyekatwa kichwa, hapakuwa na watekelezaji
 
Wewe ndo hujiongezi. Hivi maigizo yote hayo bado hujashtuka? Yaani mlishabikia sana Suala la sukari ya nje kuto kuingizwa nchini. Mkafikia hata kumhoji yule mama wa watu wa ile kamati bungeni eti amepata wapi jeuri ya kupingana na kauri ya rais. Leo hii aibu zimewajaa sijui mnaanzia wapi kushangilia wakati mlishashangilia uzuiaji. Yaani sijui mnaakili gani zisizo jiongeza
Kabla nahitaji kujua uwezo wako wa kufikiri
 
Ndio sifa ya ukweli, unachelewa lakini, unafika TU.. Binafsi nilishangaa serikali kushindwa ile kesi..
 
Rais anapaswa kwenda mbele zaidi kwa kutumia wizara husuka kupeleka marekebisho ya sheria bungeni ili kazi ya DPP ifanywe na jopo la wanasheria na sio mtu mmoja kuamua mtu yupi na makosa gani yafikishwe mahakamami
 
Ni kweli kabisaaaa, na dawa yake ni kung'oa ccm yote

sasa tukitoa ccm ndo tunaweka lichama gani mkuu , watu tunachagua ccm sio kwa vile ni chama bora la , ni kwa kuwa hatuna cham mbadala mpaka sasa
 
sasa tukitoa ccm ndo tunaweka lichama gani mkuu , watu tunachagua ccm sio kwa vile ni chama bora la , ni kwa kuwa hatuna cham mbadala mpaka sasa
Avoid cutting a cloth before a child is born!!! Fear of the unknown
 
hayo ni mambo ya kisheria, hatakiwi kuingilia mahakama. Kama ana ushahidi tofauti si serikali ikate rufaa?

Tanzania kuna mahakama inayoweza kumnyima ushindi fisadi? Kama majaji, mahakimu, waendesha mashtaka na mawakili wanapanga matokeo ya kesi za matajiri hiyo Rufaa ina faida gani?
 
Back
Top Bottom