respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,844
Sasa kama muda ulikwisha hawezi kuniaminisha mm great thinker kuwa eti sijui nani alifanya ashindwe kesi. Labda ni njia ya kujisafisha ili aonekane anamaamuzi mazuri ambayo hayaliingizi taifa kwenye hasara. Vipi kuhusu sukari? Nani kasababisha emefeli? Msiongozwe na ushabiki. Lazima Muwe mnatumia akili zenu
Daaah, eti Great Thinker.... Wewe ndiye Great Thinker? Aaah, basi sawa..!!!!
BACK TANGANYIKA