Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.

Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
DPP alipata mgao mnono sana, this is our opinion as even laymen I mean ice cream vendors realized this mission!
 
Acha mihemko ka ya ... kazi ya wakili ni kuwakilisha wananchi mahakamani na tunalipwa kwa hilo. Karibu na wewe kasome sheria uje.
Inabidi ulipie tangazo humu JF naona unajipigia Promo.
 
FELESHI ALIKUWA MRA RUSHWA NO MOJA.HALAFU WALE WACHINA WALIKUWA WANAVUA KWA BARAKA ZA IKULU.MAGUFURI ALIKUWA ANAPIGANA VITA AMABAYO MKUU WAKE WA KAZI ALIKUA AKIIFADHILI.NDO MAANA KATI YA MAKOSA 19 DPP ALILAZIMISHWA YAPELEKWE AMAKOSA MAWILI ILI SERIKALI ISHINDWE NA MAGUFURI AONEKANE NI MKURUPUKAJI.KUMBUKA KIKWETWE,LOWASA NA MAMEMBE WALIKUWA HAWATAKI UTENDAJI WA MAGUFURI KWANI ALIKUWA ANAWAFUNIKA HIVYO KUANZA KUMHOFIA KATIKA SAFARI YAO YA KISIASA

ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni kama upo ikulu vile....kikwete kageuka jalala sasa
 
Ndugu zangu tunakoelekea utawala wa sheria utakuwa histori nchini mwetu. Dalili zinaanza kuonekana ukishtakiwa na serikali no kushinda. Ukishinda msala wa DPP haya mambo usiombe yakukute nduguzanguni si yakushabikia. Atukai kwenye vyeo milele
 
Kesho utaskia katumbuliwa
Jaji wa Mahakama Kuu hawezi kutumbuliwa na Rais kwa sababu Mahakama ni muhimili mwingine wa Dola tofauti na Serikali.

Kumuondoa Jaji wa Mahakama Kuu siyo rahisi kwa sababu it's a long procedure and complex.
 
Magufuli anajaribu kuigeuza jamii, iache ulaghai iwe wazi hakuna kuzunguka wala kuongea siasa.!

Nyeupe iitwe nyeupe Na nyeusi iitwe nyeusi
Huyo amejivika ujinga!

Unapoteza muda wako kumuelimisha mtu anayefahamu ukweli bali amejivika ujinga.

Save your energy for people who like/want to learn.
 
Jaji wa Mahakama Kuu hawezi kutumbuliwa na Rais kwa sababu Mahakama ni muhimili mwingine wa Dola tofauti na Serikali.

Kumuondoa Jaji wa Mahakama Kuu siyo rahisi kwa sababu it's a long procedure and complex.

Sasa huyo jamaa kama ni mlarushwa na yupo mahakama kuu ina maana akina kitila,sioi na shose wamepona maana wao kutoa hata 2b ili washinde sio tatizo kabisa kabisa
 
Hakuna kitu kama hicho. Yule ni mzee wa kukurupuka tu. Na sukari atamsingizia nani? Au ndo anataka ajione hakosei?
Tatizo mnakurupuka kuchangia mkiwa na uwezo mdogo wa kufikiri. Swala la sukari nadhani rais alilifafanua vizuri ila kwa watu mburura kama wewe huwezi kujiongeza.
 
Sasa huyo jamaa kama ni mlarushwa na yupo mahakama kuu ina maana akina kitila,sioi na shose wamepona maana wao kutoa hata 2b ili washinde sio tatizo kabisa kabisa
Ni wapi amesema Jaji Feleshi ni mla rushwa? mambo haya ni magumu sana kuyaelewa, Feleshi ni mwadilifu na mchapa kazi sana aliangushwa na wasaidizi wake na wakati mwingine Ikulu yenyewe.
 
Jaji wa Mahakama Kuu hawezi kutumbuliwa na Rais kwa sababu Mahakama ni muhimili mwingine wa Dola tofauti na Serikali.

Kumuondoa Jaji wa Mahakama Kuu siyo rahisi kwa sababu it's a long procedure and complex.
Hata DPP mwenyewe hakuna anayeweza kumgusa analindwa na katiba, kumuondoa hapo labda umteue kuwa Jaji tu.
 
Back
Top Bottom