Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,978
Wewe unafikiri Majaji wanatumbuliwa kirahisi hivyo? Sio kila eneo Dr anaweza kucheza nalo!Amtumbue
Wewe unafikiri Majaji wanatumbuliwa kirahisi hivyo? Sio kila eneo Dr anaweza kucheza nalo!Amtumbue
Kuna tofauti kati ya Jaji na DPP kamanda na hata security of tenure yao ni tofautiDPP ni kama Jaji, sio rahisi kumtumbua, pia ukifikia hatua ya kumtumbua mtu kama Feleshi basi jitafakari mala mbilimbili.
Uliza mwanasheria yeyote wa serikali atakueleza boss wao huyo wa zamani ni mtu wa aina gani, Feleshi ni mwadilifu na mchapa kazi hasa, licha ya kuwa boss lakini kila siku ukitoa jpili lazima saa kumi na moja alfajiri yumo ofisini na anaondoka saa mbili usiku, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, hakuna mtu angethubutu kumpa rushwa Feleshi maana hata huo ujasiri sijui unaupata wapi.
Hii ni kama tu ile issue ya UDA watu walimsema sana humu eti alihongwa ndo maana akaiondoa kesi mahakamani baada ya watu kuelezwa nini kilitokea ndo wakaona kumbe si mtu wa kuwa compromised na ndo wakagundua Hossea alikuwa mtu wa aina gani.
Najua unachotaka kuuliza ila nami nakusihi tujinyamazie kimya tu ndugu yanguKuna kitu ningeuliza ila washangiliaji najua watanigeuza asusa. Ngoja niwe msomaji tuu.
Duhh, hii kali ya mwaka. Matusi yamezidi mpaka watu mnaogopa kupost!Najua unachotaka kuuliza ila nami nakusihi tujinyamazie kimya tu ndugu yangu
Sasa watu hawataki facts bali kile wanachokiamini, hauwezi kushindana nao sababu kuna kundi limeibukia hapa juzi tu wanachokijua ni kutukana na ubishi unreasonablyDuhh, hii kali ya mwaka. Matusi yamezidi mpaka watu mnaogopa kupost!
Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.
Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
Hiyo TBC ndiyo kitu gani?Rais akiongea na viongozi wa juu wa jeshi la polisi ameeleza jinsi serikali ilivyoshindwa kesi ya samaki. Eti makosa yalikuwa 19, cha ajabu DPP alipeleka moja tuu. Magufuli akalalamika kwa mwanasheria mkuu, wakapeleka tena mengine matatu na jamaa wakashinda kiulaini.
Kituko kingine, eti kuna mke wa waziri kamtukana traffic polisi wakati kitekeleza majukum yake, rais ameagiza hyo askari apandishwe cheo na pia ameshaongea na hyo waziri kumuonya.
Rais ameongea kwa uchungu mambo kibao yanayoumiza yaliyokuwa yakifanywa na baadhi ya askari wachache na kusababisha hasara kubwa kwa taifa.
Chanzo: Kipindi cha Makala ya Rais, TBC.
Sahau, kashakuwa jaji. Jaji level zingine, hatumbuliki na rais.Huyo DPP alie husika na kesi ya samaki wa Ma[emoji356] ajiandae kutumbuliwa tua aiseee....
Wewe unaamini hilo? Jaji Mkuu anaweza vipi kuongeza mashtaka yaliyoondolewa na DPP mfano? na kwa nini hayakurejeshwa yote kama DPP hakuwa na hoja? lakini tukumbuke kesi ni ushahidi, na pia DPP ni taasisi.
Nadhani humfahamu vizuri Jaji Dkt Feleshi wewe, kama kunamwanasheria muadilifu hata mmoja alobakia hapa Tanzania basi ni Feleshi, niliwahi kusema hapa natamani sana Feleshi angefanya kazi na Magufuli akiwa kama DPP nchi ingenyooka hii, kama unajua Ikulu ilikuwa inamuingilia then unatoa wapi ujasiri wa kumtuhumu Feleshi?
Mkuu umewahi kuwa na Kesi mahakamani au nawee unasikia habari kwa watu.....kwa taarifa yako Kwenye Mahakama zetu Mwenye HELA ndio anaamua matokeo ya KESI msibaki kuimba nadharia humu
Tatizo la Magufuli ni mnafiki sana asiyekubali makosa....yeye mwenyewe ana madhambi yake.Hahahahaaa Magu acha kuzuga na mambo ya kesi, kama hasara umeshatupa na hatuta lisahau hili na nyumba zetu ulizogawa ovyo ovyo na Mv dar, tutapambana tuondoe kinga ya rais kushtakiwa kwenye katiba mpya,!! Nakushaur pambana mfumuko wa bei, watanzania wamechoka na comedy za majipu
Huyo polisi ndie mwenye jukumu la kushitaki ama kusamehe.Kuna mtu alimtukana RAISI akashikwa vepe uyo mama mke wa waziri kashikwa au sheria zetu double standard na zakifala
Huwa naumia sana watu wanapomsema vibaya Dkt Feleshi, I wish wangemjua, jamaa ni mwadilifu na mchapa kazi hasa, ni jaji wa kanda ya Dar lakini mwezi jana tu nilisikia akifunga watu Morogoro na jana taarifa ya habari ITV usiku kahukumu Iringa, niliwahi kusema humu pia nilitegemea ndiye angekuwa AG, baada ya kuachwa nikategemea wanamuandaa kuwa CJ lakini nimekuja shangazwa sana na kauli hizi za Mhe Rais dhidi yake.Ahsante sana.
Dkt Mbuki waliamua kumchafua tu, kipindi kile.
Na baada ya Werema nikategemea anaweza kuwa Attorney General sema ofisi yao imejaa figisu balaa.
Kipindi hiki nakategemea tena, wala hata hakuchaguliwa basi nkasikitika tu.
The guy ni muadilifu saaaana.
Siku hizi ni Jaji nao huwa na kinga fulaniHuyo DPP alie husika na kesi ya samaki wa Ma[emoji356] ajiandae kutumbuliwa tua aiseee....
Baba masharubu mama masharubu na mtoto pia masharubuUna maana gani?
Acha kuwafanya watanzania wote wajinga! Kwani kabla ya kukamata hizo fish hakumjua DPP wa nchi yake. je, hiyo ilikuwa kesi yake ya kwanza kushindwa? Mbona ile ishu ya kugushi nyaraka ya umeya dar haisemei! au atailalamikia akishamaliza awamu yake. Hisia zinawafanya watanzania kujiona kama wameamka kumbe bado wako kwenye usingizi mzito!Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.
Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.
Acha kuwafanya watanzania wote wajinga! Kwani kabla ya kukamata hizo fish hakumjua DPP wa nchi yake. je, hiyo ilikuwa kesi yake ya kwanza kushindwa? Mbona ile ishu ya kugushi nyaraka ya umeya dar haisemei! au atailalamikia akishamaliza awamu yake. Hisia zinawafanya watanzania kujiona kama wameamka kumbe bado wako kwenye usingizi mzito!