Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Feleshi hapa anasemwa,Feleshi jitokeze kaka ,ni kweli uliichezea ile kesi ya samaki?
Ni kweli alichezea kama ushahidi ulikuwepo imekuwaje watuhumiwa washinde? Au ule usemi kwamba anayekutwa na manyoya ndiye......hauna maana?
 
hayo ni mambo ya kisheria, hatakiwi kuingilia mahakama. Kama ana ushahidi tofauti si serikali ikate rufaa?

Kisheria kuna muda maalumu wa kukata rufaa baada ya kushindwa kesi. Muda huo ulishapita zamamani sana.

Hapa Mheshimiwa anatudadavulia wazi namna mfumo wa utoaji haki ulivyooza hapa Nchini. Kama mtu mmoja aweza kuwa sababu ya Serikali nzima kushindwa kwenye kesi yenye manufaa kwa Taifa itakuwaje kwa kikundi cha watu kumi??

Hapa mzee wa Msoga anazidi kupekenyuliwa mpaka chumbani..!! Taifa hili lirajutia kwa miongo kazaa ijayo kwa utawala huu wa awamu ya nne. Hakuna ambalo lilikua haliwezekani ktk awamu hiyo.

Mungu mpe maisha Dumisha ujasiri kwa Ngosha azidi kuwa Imara dhidi ya Madalali na Mafisadi yaliyotapaa kila kona ya Taifa hili.

BACK TANGANYIKA
 
Hii nikama anatutaarifu kuwa Dr Feleshi alivuta mpango wa kutosha sana kutoka kwa Wachina wale. Na kwa kesi ambayo ukiacha kufungwa tuu walikuwa wanapata hasara ya mabilioni ya shilingi. Jee Feleshi atakuwa kavuta ngapi? Na ni wazi kwa kesi kubwa kama ile mkuu aliyekuwepo alifahamu nini kinaendelea na hakujali serikali itabidi ipoteze bilioni ngapi. Jee anatufahamisha kisayansi kuwa mtangulizi wake ameshiriki uharamia huo?
Nadhani pia Feleshi alipewa ujaji kana sikosei, jee mtu wa aina hiyo anaweza kuaminika kutumikia wadhifa huo wa ujaji? Hapa maswali ni mengi sana!
 
Kisheria kuna muda maalumu wa kukata rufaa baada ya kushindwa kesi. Muda huo ulishapita zamamani sana.

Hapa Mheshimiwa anatudadavulia wazi namna mfumo wa utoaji haki ulivyooza hapa Nchini. Kama mtu mmoja aweza kuwa sababu ya Serikali nzima kushindwa kwenye kesi yenye manufaa kwa Taifa itakuwaje kwa kikundi cha watu kumi??

Hapa mzee wa Msoga anazidi kupekenyuliwa mpaka chumbani..!! Taifa hili lirajutia kwa miongo kazaa ijayo kwa utawala huu wa awamu ya nne. Hakuna ambalo lilikua haliwezekani ktk awamu hiyo.

Mungu mpe maisha Dumisha ujasiri kwa Ngosha azidi kuwa Imara dhidi ya Madalali na Mafisadi yaliyotapaa kila kona ya Taifa hili.

BACK TANGANYIKA
Sasa kama muda ulikwisha hawezi kuniaminisha mm great thinker kuwa eti sijui nani alifanya ashindwe kesi. Labda ni njia ya kujisafisha ili aonekane anamaamuzi mazuri ambayo hayaliingizi taifa kwenye hasara. Vipi kuhusu sukari? Nani kasababisha emefeli? Msiongozwe na ushabiki. Lazima Muwe mnatumia akili zenu
 
Magufuli anajaribu kuigeuza jamii, iache ulaghai iwe wazi hakuna kuzunguka wala kuongea siasa.!

Nyeupe iitwe nyeupe Na nyeusi iitwe nyeusi
Hakuna kitu kama hicho. Yule ni mzee wa kukurupuka tu. Na sukari atamsingizia nani? Au ndo anataka ajione hakosei?
 
Ndivyo nijuavyo lakini tabia zingine zinazojidhihilisha kikwetu tungesema "yauya uzo". Maana yake jando halikumsaidia karudi utupu. Hata lugha ya staha inashindikana
 
Na ile meli ya 1978 DPP nae alizembea nisisahau na nyumba bandugu jumba bovu unalo DPP wa kitambo
 
Rais halalamiki, anasema kilichotokea wakati wa kesi ya samaki aliokamata wakati ule!
Uzuri Rais anafahamu kila palipooza. Ukifahamu tatizo ni nusu ya kutatua tatizo lenyewe
Nadhani hafahamu naye ni wale wale walio oza
 
Back
Top Bottom