Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Wewe unaamini hilo? Jaji Mkuu anaweza vipi kuongeza mashtaka yaliyoondolewa na DPP mfano? na kwa nini hayakurejeshwa yote kama DPP hakuwa na hoja? lakini tukumbuke kesi ni ushahidi, na pia DPP ni taasisi.
Sidhani kama umemuelewa alivyosema alienda kulalamika kwa Jaji mkuu.
Nadhani point pale ilikuwa yeye kama Waziri wa wakati huo (hasa kutumia mwanasheria wa Wizara, waliwakuta watuhumiwa na makosa 19). Na ndo hayo anayoyasema. Sasa baada ya kuona kile alichokuwa anakijua hakijafikishwa mahakamani, ilibidi alalamike kwa Jaji mkuu. Na kwa kuwa vyote ni vyombo vya serikali (DPP na Jaji Mkuu) nadhani Jaji atakuwa amewasiliana na ofisi ya DPP kuhusu hilo ndo DPP akaongeza makosa mengine mawili jumla yakawa makosa matatu.
Point inakuja, kama DPP mwanzo aliona kosa moja, imekuwaje baada ya Waziri kulalamika makosa yaliongezeka? (Kwa akili ya kawaida tu utaona kuna mchezo ulokuwa ukiendelea).
 
Wewe unaamini hilo? Jaji Mkuu anaweza vipi kuongeza mashtaka yaliyoondolewa na DPP mfano? na kwa nini hayakurejeshwa yote kama DPP hakuwa na hoja? lakini tukumbuke kesi ni ushahidi, na pia DPP ni taasisi.
Mkuu umewahi kuwa na Kesi mahakamani au nawee unasikia habari kwa watu.....kwa taarifa yako Kwenye Mahakama zetu Mwenye HELA ndio anaamua matokeo ya KESI msibaki kuimba nadharia humu
 
hapo ni issue ya katiba ambayo sioni kama kuna dalili za kurekebishwa kamwe...
 
Wewe unaamini hilo? Jaji Mkuu anaweza vipi kuongeza mashtaka yaliyoondolewa na DPP mfano? na kwa nini hayakurejeshwa yote kama DPP hakuwa na hoja? lakini tukumbuke kesi ni ushahidi, na pia DPP ni taasisi.
mhuuum hilo jina vipi, wewe ni mjukuu wa Ng'wana Ng'weshemi nini?
 
Sasa mbona huyo Feresh sasa hivi jaji si ndiyo ataichezea anavyotaka
.
Ni kweli aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Rais hawezi kumtumbua Jaji wa Mahakama Kuu kwa sababu huo ni muhimili mwingine wa Dola.

Suala la kumtumbua Jaji wa Mahakama Kuu lipo mikononi mwa Jaji Mkuu wa Tanzania na kuna procedures zake ndefu.
 
Sidhani kama umemuelewa alivyosema alienda kulalamika kwa Jaji mkuu.
Nadhani point pale ilikuwa yeye kama Waziri wa wakati huo (hasa kutumia mwanasheria wa Wizara, waliwakuta watuhumiwa na makosa 19). Na ndo hayo anayoyasema. Sasa baada ya kuona kile alichokuwa anakijua hakijafikishwa mahakamani, ilibidi alalamike kwa Jaji mkuu. Na kwa kuwa vyote ni vyombo vya serikali (DPP na Jaji Mkuu) nadhani Jaji atakuwa amewasiliana na ofisi ya DPP kuhusu hilo ndo DPP akaongeza makosa mengine mawili jumla yakawa makosa matatu.
Point inakuja, kama DPP mwanzo aliona kosa moja, imekuwaje baada ya Waziri kulalamika makosa yaliongezeka? (Kwa akili ya kawaida tu utaona kuna mchezo ulokuwa ukiendelea).

Hiyo hoja haijasanifiwa vizuri, Jaji au hakimu hawezi kuelekeza either kuongeza au kupunguza idadi ya makosa katika kesi. Kuna baadhi ya kesi zinafunguliwa kabla ya upelelezi kukamilika kiasi kwamba upelelezi unapokamilika makosa ya ziada yanajitokeza.Sijasema hilo kumtetea mtu au kuonyesha kuna mtu kasema mambo ambayo si ya uhakika sana.
 
Mkuu umewahi kuwa na Kesi mahakamani au nawee unasikia habari kwa watu.....kwa taarifa yako Kwenye Mahakama zetu Mwenye HELA ndio anaamua matokeo ya KESI msibaki kuimba nadharia humu

Mwenye pesa hires best advocates kwa nini asishinde?
 
Sidhani kama umemuelewa alivyosema alienda kulalamika kwa Jaji mkuu.
Nadhani point pale ilikuwa yeye kama Waziri wa wakati huo (hasa kutumia mwanasheria wa Wizara, waliwakuta watuhumiwa na makosa 19). Na ndo hayo anayoyasema. Sasa baada ya kuona kile alichokuwa anakijua hakijafikishwa mahakamani, ilibidi alalamike kwa Jaji mkuu. Na kwa kuwa vyote ni vyombo vya serikali (DPP na Jaji Mkuu) nadhani Jaji atakuwa amewasiliana na ofisi ya DPP kuhusu hilo ndo DPP akaongeza makosa mengine mawili jumla yakawa makosa matatu.
Point inakuja, kama DPP mwanzo aliona kosa moja, imekuwaje baada ya Waziri kulalamika makosa yaliongezeka? (Kwa akili ya kawaida tu utaona kuna mchezo ulokuwa ukiendelea).
Je hayo mashtaka yaloongezwa yalithibitika mahakamani? Tulie na wapelelezi wetu ndo janga, kesi ni ushahidi, kama vyombo chunguzi havifanyi kazi zake kwa weledi DPP ataendelewa kulaumiwa kila uchao.
 
Huenda police sasa kuwa na mishahara minono.....ntaanza kujifanya police.
 
Jamani hbr, naomba tujuzane kwa wanasheria wanaojua vzr taratibu za kodi inayotakiwa kukatwa kwa mfanyakzi tunaofanya kazi hasa kwny mashrika binafsi ambayo kwa hapa tz yapo chini ya wizara husika, maana sisi huku tunakatwa kodi hadi laki 5 kwa mishahara inayofikia hadi 2m hizi scale za kodi zinakuwaje naomba tujuzane
 
Je hayo mashtaka yaloongezwa yalithibitika mahakamani? Tulie na wapelelezi wetu ndo janga, kesi ni ushahidi, kama vyombo chunguzi havifanyi kazi zake kwa weledi DPP ataendelewa kulaumiwa kila uchao.
Ndo maana kawaunganisha wote kwa pamoja. Nadhani huo katoa mfano tu kwa namna watendaji wa vyombo hivyo hawako makini na wala hawatangulizi maslahi ya taifa mbele. Ukitetea ofisi ya DPP na jeshi la polisi nadhani wewe haupo nchini. Lakini Polisi ni janga. Mfano mdogo tu ni Kuhusu yule jamaa Kasusura baada ya kuiba zile pesa. Polisi badala ya kumkamata wao ndo wakamsindikiza mpaka Mbeya. Ofisi ya DPP na Jeshi la polisi kama wasingekuwa na Makandokando wasingelaumiwa kiasi hicho na wananchi. Mpaka Mh. Rais naye anawaambia kwa uwazi tu kuwa wanasemwa mno.
 
Kumbe ndo wale wale.....!!! Unaenda kwaajili yakutafuta hela

Acha mihemko ka ya ... kazi ya wakili ni kuwakilisha wananchi mahakamani na tunalipwa kwa hilo. Karibu na wewe kasome sheria uje.
 
uploadfromtaptalk1462128303251.jpg
 
Back
Top Bottom