Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,640
hata kama ingekuwa mimi ile zomeazomea ya leo mchana kutwa ningechanganyikiwa & kula corner tu
Hahahaaa .... ni roho ngumu sana kweli jamaa amebanwa mbavu.
hata kama ingekuwa mimi ile zomeazomea ya leo mchana kutwa ningechanganyikiwa & kula corner tu
teh teh inaonyesha ulivyokurupuka
Kazidiwa hata na bright mn'garo
Nyie wasomi fake acheni uzushi BBC hawakuwa na katiba ya mahojiano naagufuli Leo. That is a creation of your imagination. Hata hivyo urais siyo spoken english! Hivi akishinda mtaficha wapi nyuso zenu? Simple minds discuss people!
Kwa kweli Magufuli ni mweupe kwenye kiingereza. Hawezi kuzungumza kiingereza mfululizo dakika kumi. Mimi niliwahi kuhudhuria naye kwenye kikao cha UN HABITAT Vancouver Canada 2005 alipokuwa Waziri wa Ardhi. Alishindwa kuongoza ka group to kadogo ka discussion kwa kiingereza. Watanzania jitayarisheni kupata AIBU kama akiwa Rais.
Sasa mbona title inasema kakimbia? Wanamtafuta wampe mualiko!
Ulitaka aandike kakimbia?? uandishi ni taaluma
Mukitaka huyo Mr.Politicians arudi kwenye hio interview basi mwelezeni ya kwamba hio interview sio ya kiingereza bali ni ya Kiswahili! La si hivyo mumfuate Mwanza alikojifungia. Nasikia akiona Nembo ya BBC tu basi huanza kujikojolea kwenye suruali! Alifikiri Urais ni kupiga push ups tu majukwani! Sasa kuna CCN, BBC, VOA, Aljazeera hana pa kutokea huyo kama alikimbia midahalo shuleni!
Nyie wasomi fake acheni uzushi BBC hawakuwa na katiba ya mahojiano naagufuli Leo. That is a creation of your imagination. Hata hivyo urais siyo spoken english! Hivi akishinda mtaficha wapi nyuso zenu? Simple minds discuss people!
-Angeulizwa nyumba za serikali alizoshiriki uuzaji wake, angejibuje?
-Angeulizwa, fedha za barabara ya mradi wa DART kutoka Kimara mwisho hadi makutano ya bibi Titi, iliojengwa kwa upana wa mita 5 badala ya mita 6, iko wapi, angejibuje?
LAKINI, namkubali ni JEMBE pia!
Magufuli alijua interview ni ya kiingereza alivyoona kaalikwa na BBC.
Kwa kiingererza kile sijui akialikwa BBC kwenye kipindi cha HARD TALK itakuwaje!??
Kazoea kubwabwaja kisukuma tu StarCCM TV ya Dialo!!!
What is katiba ya mahojiano??