Magufuli akacha Mahojiano ya BBC

Ikiwa ni siku moja baada ya raisi mtarajiwa Edward Lowassa kufanya interview ya BBC leo ilikuwa ahojiwe mgombea wa CCM.

BBC waliahidi hivyo jana na hata leo magroup yote ya whatsapp taarifa zilisambazwa kuwa Magufuli atafanya interview na BBC lakini Magufuli amekimbia.

Nyie wasomi fake acheni uzushi BBC hawakuwa na katiba ya mahojiano naagufuli Leo. That is a creation of your imagination. Hata hivyo urais siyo spoken english! Hivi akishinda mtaficha wapi nyuso zenu? Simple minds discuss people!
 
Magufuli ameingia mtini kuogopa kuulizwa maswali ya kuuzia hawara zake nyumba za serikali pia bbc hakuna sehemu za kupiga push up.
 
Ile ya Aljazeera iliishia wapi? Nyani Ngabu

Teh teh teh....

Jamaa ukitaka kumuweza mwambie mahojiano yatakuwa kwa Kiingereza.

Atakwambia 'I am a poritician and I don't want to say so many poritical words. Good bye'.

Huyo jamaa kama wanataka kufanya naye mahojiano ni lazima wamwambie mapema lugha itakayotumika la sivyo usipomwambie atahisi kuwa labda yatafanyika kwa Kiingereza na atakula kona tu.
 
Magufuli ni muongo sn katka ahadi zake, kahofia watamuumbua
 
Mbona ni obvious Jana walisema BBC kwamba Leo mh. Magufuli atakuwa in air hata mm nmeshangaa kuona hajahojiwa
Ukikubali kuwa hujui wala hudharauliki bali utaheshimika kwa kukiri udhaifu.
Taarifa ya Lowassa haikuwa live ilirekodiwa zaidi ya wiki moja iliyopita. Zuhura Yunus aliongea na wanasiasa wengi hata wa ubunge.
Mfululizo wa vipindi mahojiano hayo ndio vimeanza kurushwa wakati Zuhura amesharudi London na sasa mtangazaji wa BBC aliyepo Tz ni Salim Kikeke.
Kipindi kilichomuonesha Lowassa kiliandaliwa katika mlolongo wa vipindi vya Dira ya Dunia, hivyo basi kama mtangazaji wakati anahitimisha kipindi cha Dira ya Dunia alisema "kesho ni Zamu ya mgombea wa CCM, Magufuli " maana yake mahojiano yalishakuwa tayari yake fanyika kati ya BBC na Magufuli. Kama hakikarushwa hewani ni jambo lililo ndani ya uwezo wa BBC.
 
Ukikubali kuwa hujui wala hudharauliki bali utaheshimika kwa kukiri udhaifu.
Taarifa ya Lowassa haikuwa live ilirekodiwa zaidi ya wiki moja iliyopita. Zuhura Yunus aliongea na wanasiasa wengi hata wa ubunge.
Mfululizo wa vipindi mahojiano hayo ndio vimeanza kurushwa wakati Zuhura amesharudi London na sasa mtangazaji wa BBC aliyepo Tz ni Salim Kikeke.
Kipindi kilichomuonesha Lowassa kiliandaliwa katika mlolongo wa vipindi vya Dira ya Dunia, hivyo basi kama mtangazaji wakati anahitimisha kipindi cha Dira ya Dunia alisema "kesho ni Zamu ya mgombea wa CCM, Magufuli " maana yake mahojiano yalishakuwa tayari yake fanyika kati ya BBC na Magufuli. Kama hakikarushwa hewani ni jambo lililo ndani ya uwezo wa BBC.

kwa hiyo na twitter wamekuwa hacked ilo bichwa utalitupa shimo la tewa ama wapi


View attachment 301760

Jamaa wanamtafuta haonekani
 
Back
Top Bottom