boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,989
- 1,033
kuna post imedai kuwa magufuli kakimbia mahojiano BBC jana tarehe 22 oct, ukweli ni kwamba hata mahojiano ya lowassa na BBC yalifanyika muda mrefu tu uliopita ilibaki kurushwa tu ndo yakarushwa tarehe 21 juzi,hata mahojiano ya magufuli yalisharekodiwa zamani kuna siku yatarushwa, tusipotoshe umma.
Sijaelewa vizuri