Magufuli akacha Mahojiano ya BBC

Mtoa mada inafanya kazi BBC maana Sijaona bandiko LA BBC lililosema kuwa Leo zamu ya Magufuri just assumptions from people.

Aliongea kikeke ile jana baada ya taarifa ya lowasa akasema kuwa kesho tumeomba magufuli, kumbe haijakuwa du
 
Mukitaka huyo Mr.Politicians arudi kwenye hio interview basi mwelezeni ya kwamba hio interview sio ya kiingereza bali ni ya Kiswahili! La si hivyo mumfuate Mwanza alikojifungia. Nasikia akiona Nembo ya BBC tu basi huanza kujikojolea kwenye suruali! Alifikiri Urais ni kupiga push ups tu majukwani! Sasa kuna CCN, BBC, VOA, Aljazeera hana pa kutokea huyo kama alikimbia midahalo shuleni!

Nimeona uzi 1 humu ukisema aljazeera wanataka kumuhoji magufuli, ndio nasubiri sijui lini
 
Magufuli alijua interview ni ya kiingereza alivyoona kaalikwa na BBC.
Hivi idhaa ya BBC Kiswahili inaendesha mahojiano kwa Kiingereza,mbona unakuwa muongo?na PhD kaisomea kwa Kiswahili?je Lowassa alihojiwa kwa Kiingereza alivyoalikwa na BBC,jibu halafu tuendelee
 
kuna post imedai kuwa magufuli kakimbia mahojiano BBC jana tarehe 22 oct, ukweli ni kwamba hata mahojiano ya lowassa na BBC yalifanyika muda mrefu tu uliopita ilibaki kurushwa tu ndo yakarushwa tarehe 21 juzi,hata mahojiano ya magufuli yalisharekodiwa zamani kuna siku yatarushwa, tusipotoshe umma.
 
kuna post imedai kuwa magufuli kakimbia mahojiano BBC jana tarehe 22 oct, ukweli ni kwamba hata mahojiano ya lowassa na BBC yalifanyika muda mrefu tu uliopita ilibaki kurushwa tu ndo yakarushwa tarehe 21 juzi,hata mahojiano ya magufuli yalisharekodiwa zamani kuna siku yatarushwa, tusipotoshe umma.




CCM hamuoni ya kwamba inakuwa ni very costly kum defend huyu Magufuli kwa watanzania!. Kwa ufupi ni kwamba huyu jamaa ni mzigo tena ule mzigo uliomshinda punda! Naona kama mwisho wake ni Jumapili na huo mzigo wenu wa chumvi basi mutautua mtoni! RIP CCM
 
kuna post imedai kuwa magufuli kakimbia mahojiano BBC jana tarehe 22 oct, ukweli ni kwamba hata mahojiano ya lowassa na BBC yalifanyika muda mrefu tu uliopita ilibaki kurushwa tu ndo yakarushwa tarehe 21 juzi,hata mahojiano ya magufuli yalisharekodiwa zamani kuna siku yatarushwa, tusipotoshe umma.

Achana nao hao wameshindwa pa kushika wana papasa papasa kila sehemu Wakitafuta pa kushika wasipapate. Magufuli hoyeeeeee.
 
Natamani Magufuli angeuluzwa maswali haya leo
1.Nini msimamo wake kuhusu katiba ya wananchi?
2.Iwapo Magufuri anaichukia sana rushwa ana msimamo gani kuhusu Escrow?
3.Mbona kauli zake ni kushangaa shangaa kuhusu mambo mengi tanzania utadhani yeye pia ni mpinzani na sio sehemu ya chama tawala?
4.Ana msimamo gani kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali?
5.Anakichukuliaje kitendo cha CCM kuyaenzi mafusadi kama Tibaijuka , Ngeleja, Chenge kwa kuyapa ubunge tena?
6.Anazungumziaje siasa majitaka za kubeza wagombea wengine kwa afya zao?
 
maghufuli ni zigo la nguvu ni mgombea wa kwanza wa Urais katika historia ambaye hajawai fanya mahojiano ya one to one na mhandishi yeyote wa habari majuzi aliwakimbia CLOUDS ambao ni ccm wenzake he is a lost cause
 
ACHA UONGO!!! Magufuli alikimbia mdahalo kwasabb anajua kuna mengi ataulizwa kisha ashindwe kujibu,kwa mfano kuhusu KATIBA INAYOPENDEKEZWA NA WANANCHI....Pia lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwake.
 
Someni hiyotweet ya Zuhura Yunus muache kukurupuka kuanzisha nyuzi za uong?
 
Back
Top Bottom