Abel Ndundulu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 845
- 383
JPM ni bingwa wa kukariri,hana uwezo wa kujibu maswali ya papo kwa papo!!Naliona taifa linaingia majaribuni!
Kwa kiingererza kile sijui akialikwa BBC kwenye kipindi cha HARD TALK itakuwaje!??
Kazoea kubwabwaja kisukuma tu StarCCM TV ya Dialo!!!
Hivi akitaka kusema: "NASEMA SITAWAANGUSHA " in English atasemaje? Maana jana jipya
sababu kubwa ni kwamba BBC hakuna sehemu ya kupigia push_ups.
we wee,its obvious wapi bwana,hakuna tangazo hata moja lilisema anahojiwa magufuli,wangetangaza kama walivotangaza kuhojiwa kwa lowassa....
Kwani ni mwiko katibu mkuu kuchunga ng'ombe ? We vipi ndugu yangu. Mbona Kikwete ataenda kujihusisha na mambo hayo hayo ya kilimo. Pinda mbona anachunga ng'ombe na bado ni waziri mkuu. Anaweza kuchunga ng'ombe na bado harakati za siasa zikawa palepale. Mwenyewe nataka nianze kuchunga ng'ombe.Bora Magufuli ambaye hajahojiwa kuliko mzee wenu aliyesema atakwenda kuchunga ng'ombe akishindwa uchaguzi!!! Akumbuke hatutaki akachunge ng'ombe, sie tunamtaka ashike nafasi ya katibu mkuu
Si angeenda na JANUARY?Hahahahaha jamaa unajua kuingia mitini hawezi kujibu maswali ya hapo kwa hapo
Si angeenda na JANUARY?
Watu wanajifariji baada ya mzee wao kuumbuka, wallahy bora kukimbia mahojiano kuliko kuongea ushudu alosema luwasa....hahahahahahh MAGUFULI OYEEEEEEEEEE