Tuache WIVU dhidi ya Maghorofa ya Wasomali kwani sisi wazawa tumenyimwa kujenga/kununua/kupanga maghorofa? Kama wana mtaji wa kutosha mi naunga mkono wao kuwekeza hapa kwetu, kwa taarifa tu hakuna sehemu ya Afrika Mashariki na Kati uende usikute MSOMALI (Anza na Kenya, TZ, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC,South Sudan tena wanawekeza kwenye biashara za maana (hotel kubwa, biashara ya kusafirisha na kuuza mafuta) ambapo hata wazawa hawajawekeza kama hawa Wasomali au ulitaka na wao wakaweke hela kwenye za USWIZI kama Viongozi wetu? Bora hawa angalau wanawekeza,kuajiri na kulipa kodi katika nchi hizi za Africa. TUACHE WIVU/MAJUNGU dhidi ya Wageni tufanye kazi kwa bidii zote...maana leo unazungumzia WASOMALI kesho WAHINDI, keshokutwa WACHINA zen WACHAGA mtondo goo WAKINGA,halafu WAJITA,WAKURYA na baiskeli zao za Mayai ukiwamaliaza wote utahamia kwenye ukoo wako...ACHA MAWAZO MGANDO ndugu PIGA KAZI acha DOMO