Magorofa kariakoo ya wasomali

Magorofa kariakoo ya wasomali

Kariakoo umeijua lini ebu tutajie hayo maghorofa ya mafisadi, kwa kukusaidia tu Kariakoo kuna Wasomali, Wazambia, Wamalawi, Wacongo, Wacomoro, Waafrica Kusini, Wasenegal, Wanageria, Wakenya, Waganda, Wanyarwanda, na hakuna ubaguzi wowote kuna amani.[/QUOTe

Soma kwa makini thread na utafakari siyo unapayuka
 
Ni kweli wasomali kariakoo ni tishio ktk biashara, sijui ndo zile hela za kupora meli kule kwao!
 
Kenya sio Kariakoo, achana na Kariakoo kabisa, fitna zako peleka hukohuko Kenya. Kariakoo kila mtu anakaribishwa ki namna yake akifanikiwa amma anaweza kundelea kuishi hapo amma ana ambaa. Hata Nyerere alipokuja Dar alikaribishwa hapohapo. Mkapa alikaa Livingstone na Ungoni kwenye duka la Amin, mpaka leo lipo na Amin yupo. Ali Hassan Mwinyi alikaa Livingstone, kwenye nyumba maarufu ambayo sasa ni bar bubu ya Pajero.

Kwa uchache tu nakutajia watu hao famous, Kikwete ndiyo usiseme, barza yake ilikuwa Saigon.

Na wote hao wamekuta kila kabila wapo hapo na hawakubaguliwa.

we msomali nini?
 
nani asokujua kuwa unatetea mambo ambayo hayakubaliki?

Kama vile Slaa au sio, ambae alikosa kura za Watanzania? au Chadema isivyokubalika Zanzibar, hata shehia moja hawana wacha uwakilishi au ubunge. Si ndio?
 
Watu wengi wanasema kariakoo imejaa magorofa ya mafisadi. Inawezekana kabisa ila ukweli ninkuwa kuna wimbi la wasomali wahamiaji kununua nyumba za wazawa na kujenga hoteli na nyumba za kupangisha.
Sijui kama serikali ina mpango gani kuhusu hawa watu ambao sasa wamejaa mjini na kutishia amani.
Mtaa wa Livingstone kuna jengo refu la ghorofa limejaa wasomali na wala hakuna taarifa inayotolewa kuhusu wakaaji haramu. Ukitaka kupanga pale si chini ya dola 800 na wakiona u mswahili unaambiwa ni dola 2000 kwa mwezi.

Tunaomba jamani wakati wa kuandikisha kuhusu vitambulisho serikali iwe macho kwani hiki ndo kipindi cha nida, rita na watendaji wa mitaa kupokea mapesa ya hongo ili hawa watu waandikshwe kama raia na kupewa vitambulisho. Halafu

hawa wasomali ni wakatili na wenye madharau sana :help:

Uwepo wa wasomali ni mojawapo ya tofauti kati ya Kariakoo na kijijini kwenu. Mtu aliyekulia Kariakoo hawezi kushtushwa na hilo, tatizo ni kwa watu waliokimbia kijijini kuja town halafu wanataka town kuwe kama kule kijijini walikokimbia!
 
Seriously, WASOMALI wengi waliopo hapa bongo wako ndani ya nchi yetu illegally. Serikali yetu lazima ifanye jitihada za kusaka WASOMALI haramu. Alhamisi iliyopita nilisafiri kwenda Dubai na WASOMALI ambao hata Kiswahili hawajuwi lakini ni raia wa Tanzania. Mungu alivyonipenda bila kujua, nilikaa seat moja 18C na baadhi ya hawa watu. Kwa kuwa wote tumetoka bongo, nikaanza kuongea nao Kiswahili hakipandi na English haipandi ila ni watanzania, inakuwaje? Hawa watu si safi na hawafai kukaa kwetu kinyume na sheria, watatuletea u al shabab siku za usoni. Serikali mpo?

Imeandikwa wapi kuwa mtanzania ni lazima uweze kuongea kiswahili?
 
Tuache WIVU dhidi ya Maghorofa ya Wasomali kwani sisi wazawa tumenyimwa kujenga/kununua/kupanga maghorofa? Kama wana mtaji wa kutosha mi naunga mkono wao kuwekeza hapa kwetu, kwa taarifa tu hakuna sehemu ya Afrika Mashariki na Kati uende usikute MSOMALI (Anza na Kenya, TZ, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC,South Sudan tena wanawekeza kwenye biashara za maana (hotel kubwa, biashara ya kusafirisha na kuuza mafuta) ambapo hata wazawa hawajawekeza kama hawa Wasomali au ulitaka na wao wakaweke hela kwenye za USWIZI kama Viongozi wetu? Bora hawa angalau wanawekeza,kuajiri na kulipa kodi katika nchi hizi za Africa. TUACHE WIVU/MAJUNGU dhidi ya Wageni tufanye kazi kwa bidii zote...maana leo unazungumzia WASOMALI kesho WAHINDI, keshokutwa WACHINA zen WACHAGA mtondo goo WAKINGA,halafu WAJITA,WAKURYA na baiskeli zao za Mayai ukiwamaliaza wote utahamia kwenye ukoo wako...ACHA MAWAZO MGANDO ndugu PIGA KAZI acha DOMO

Mkuu siyo Africa tu hata Ulaya wanawekeza, Australia ndio kabisaa - jamaa hawa wako industrious and very organised kweli kweli, huwezi kumuona Msomali ambaye hana shughuli ya kumuingizia kipato, wana umoja na wanasadiana sana; we gotta lot to learn from 'em SOMALIS.

Siku moja niliwahi kutembela a make shift Karakana ya Msomali along Mandela Rd, ndani nilikuta wanahunda matela ya kubebea mizigo na mafuta! kuangalia mashine zinazo fabricate vyuma vya kuhunda matela nilishangaa, zilikuwa niza kizamani! Nilipo muhoji kanambia mashine hizo wametumiwa na ndugu zao kutoka Italy na Uingereza na zilinunuliwa kwa hela ndogo sana, lakini wao wanatengeneza mamillion kutokana na shughuli yao hiyo; nilipo wauliza axle na brake system zinatoka wapi? wakasema BPW Ujerumani na Uchina, wakasema investment ya mradi huo ilikuwa very modest! Sasa mtu ukifikilia kwamba karakana ya TAZARA ambayo ni moja ya karakana kubwa katika Africa save South Africa na Egypt unakuta very sophisticated machines zinakaa idle gathering DUST - basi mtu unaona kwamba Watanzania kuna something somewhere ambacho hakija kaa sawa kimtazamo wetu katika nyanja wa kuwajibika na ubunifu.
 
watu mnamshambulia mtoa thread lakini kuna jambo hatulitazami kwa kina. Ni hatari kwa Wasomali kuzidi kuwekeza hapa nchini kutokana na wao kuwa mabingwa wa uharamia na vita. Tusipoweka misingi ya kudhibiti uwekezaji, tunajenga taifa holela ambalo baadaye tutashindwa kulithibiti.
 
mtanzania ni lazima uweze kuongea kiswahili
SENSA INAKUJA KESHO KUTWA NA KIPENGELE HICHO KIPO HATUTAKI ASIYEJUA KISWAHILI
Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu mkuu wa al-Qaeda Afrika Mashariki Fazul Abdullah Mohammed alikuwa akiishi Somalia,alihusika na ulipuaji wa balozi za Marekani Kenya na Tanzania.Bwana Fazul Abdullah kauwawa wiki iliyopita ni miongoni mwa magaidi waliokuwa wakisakwa sana na FBI shirika la ujasusi la Marekani.

MM SIELEWI NI KWANINI ZOMBA LEO UNATURUDISHA NYUMA, HIVI NILINI MSOMALI AKASHIRIKIANA NA MTANZANIA? INAELEKEA UMRI ULIONAO HUKUYAKUTA MA- FIAT hawa watu walikuwa ni watafutaji wa pembe za wanyama (vipusa) leo wameteka meli zote zilizokatisha pembe ya Afrika, ni wao wenye kampuni la Intergrated na wamempa Raia (kiongozi na mwanasiasa) wetu mmoja tukiasi cha sh.450,000,000.00 zaidi ya walizochanga CDM
Wamejenga kila mahali na hii sio thread ya kwanza
MAHARAMIA WA KISOMALI NA MAJUMBA MAPYA MBEZI
Heshima kwako Duduwasha,
Mkuu ni vyema kama hujui jambo kaa kimya ujuzwe.
Kusamabaratika kwa serekali ya Somalia mwanzoni lilionekana kama tatizo la Afrika au pengine tatizo la kikanda zaidi.Mashirika yote ya kijasusi ya nchi za magharibi yanatambua yalikosea sana Somalia sasa ni tatizo la kudunia linahitaji kushughulikiwa kimataifa tena kwa uangalifu wa hali ya juu sana.

Mapato yatokanayo na utekaji wa meli yamemiminika eneo lote la Afrika mashariki,Kenya wamekuwa waanga wa mwanzo pengine sababu za kijiografia zilisaidia zaidi.Wasomali wamenunua maeneo sehemu mbali mbali kwa bei kubwa kwaajili ya ujenzi wa mahotels na majumba ya biashara.Benki kuu ya Kenya imekiri kuingia kwa fedha nyingi sana nje ya mfumo wake rasmi wa fedha.Tanzania nayo haikubaki nyuma miji ya Arusha,Tanga,Dar es Salaam imevamiwa na hizi fedha za uharamia.

Zipo athari kibao ambazo nchi za EA zimeanza kuona moja kubwa nikitisho cha ugaidi kuongezeka matukio ya mlipukowa mabomu nchini Kenya na Uganda ni uthibitisho jinsi haliitakavyozidi kuwa mbaya siku za usoni.Wasomali wamefanikiwa sana kupenyeza wasomali wenzao ndani ya mfumo wa siasa na utawala nchini Kenya ili kulinda maslahi ya wasomali hasa kuwahakikishia usalama wa mali zao walizowekeza nchi humo.Tanzania imeanza kunyemelewa hasa kipindi hiki ambacho ombwe la uongozi/utawala limetamalaki.Kuna mikakati ya maksudi na siri ya kuwasaidia raia Tanzania wenye asili ya kisomali kukamata nafasi za uongozi ndani ya vyombo vya maamuzi.Ni rahisi sana kufanikisha mkakati wa aina hii kwasababu chaguzi zetu zimetawaliwa sana na matumizi makubwa ya fedha[hakuna udhibiti wa matumizi ya fedha]. Bashe Hussein,Aden Rage na A Kinana ni aina ya viongozi wanaowatumikia magaidi ya wa kisomali kwa kuwapatia mikakati mbali mbali eg kujipenyeza ndani ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama [miradi ya kiuchumi] tenda.Tanzania isipokuwa makini hakika uchaguzi wa mwaka 2015 idadi ya wabunge wasomali lazima itaongezeka maradufu kwakuwa tayari maharamia wa kisomali wanazo fedha za kuwafadhili.

Kinana aliwahikushika wadhifa wa spika wa bunge la EAC,anajua nje ndani jumuiya hiyo inavyoendeshwa hivi sasa zipo juhudi na mikakati ya kuiingiza Somalia ndani ya EAC bila kujali sehemu kubwa ya Somalia inashikiliwa na wapinzani wa serekali.Watu wazima hawajawaza wasomali watakavyopata uwanja mpana [eneo la nchi za EAC] wa ugaidi.

WaTanzania wenye asili ya Somalia ni tishio kubwa la usalama wa Tanzania na eneo lote la Afrika.
 
Uwepo wa wasomali ni mojawapo ya tofauti kati ya Kariakoo na kijijini kwenu. Mtu aliyekulia Kariakoo hawezi kushtushwa na hilo, tatizo ni kwa watu waliokimbia kijijini kuja town halafu wanataka town kuwe kama kule kijijini walikokimbia!
Eti kariakoo mjini!!!!! Ushamba uliokubuhu. Eneo lenyewe limejaa uswahiliswahili wa kahawa na kashata. Kwa jinsi kariakoo ilivyo na karaha kuna watu wenye uwezo wanaweza kukaa hata miaka mitano hawajakanyaga. Halafu leo eti unajivunia kariakoo mjini, ptuuuuuu!!!!!
 
Eti kariakoo mjini!!!!! Ushamba uliokubuhu. Eneo lenyewe limejaa uswahiliswahili wa kahawa na kashata. Kwa jinsi kariakoo ilivyo na karaha kuna watu wenye uwezo wanaweza kukaa hata miaka mitano hawajakanyaga. Halafu leo eti unajivunia kariakoo mjini, ptuuuuuu!!!!!

Tembea uone dunia ilivyo ndugu yangu. Airport zote zina harufu ya kahawa. Obama kila asubuhi lazima apige kikombe cha kahawa, Angela Meckel vilevile. Kahawa ni kinywaji kinachoheshimika sana duniani. Kama kinachokufanya uchukie kariakoo ni kahawa basi hutaweza kuenjoy jiji lolote duniani.

Matajiri duniani hawakai katikati ya miji ila wanamili biashara katikati ya miji. Tajiri anataka kuwa na estate kuuuuuubwa, ataipataje katikati ya jiji?
 
Tuache WIVU dhidi ya Maghorofa ya Wasomali kwani sisi wazawa tumenyimwa kujenga/kununua/kupanga maghorofa? Kama wana mtaji wa kutosha mi naunga mkono wao kuwekeza hapa kwetu, kwa taarifa tu hakuna sehemu ya Afrika Mashariki na Kati uende usikute MSOMALI (Anza na Kenya, TZ, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC,South Sudan tena wanawekeza kwenye biashara za maana (hotel kubwa, biashara ya kusafirisha na kuuza mafuta) ambapo hata wazawa hawajawekeza kama hawa Wasomali au ulitaka na wao wakaweke hela kwenye za USWIZI kama Viongozi wetu? Bora hawa angalau wanawekeza,kuajiri na kulipa kodi katika nchi hizi za Africa. TUACHE WIVU/MAJUNGU dhidi ya Wageni tufanye kazi kwa bidii zote...maana leo unazungumzia WASOMALI kesho WAHINDI, keshokutwa WACHINA zen WACHAGA mtondo goo WAKINGA,halafu WAJITA,WAKURYA na baiskeli zao za Mayai ukiwamaliaza wote utahamia kwenye ukoo wako...ACHA MAWAZO MGANDO ndugu PIGA KAZI acha DOMO
Wanajenga magorofa na hotel kama njia ya kutakasa pesa zao chafu. Matukio ya Somali pirates yametulia vipi kwa ninini wameshindwa kumalizia zile nyumba zao za bahari beach? Tusiwe kama majuha nakuanza kurusha lawama ni lazima tuwe makini na hawa watu wanaoingia nchini kwetu illegally. Nenda kwenye magodown yao nyerere road uangalie utitiri utakaokutana nao.
 
Watu wengi wanasema kariakoo imejaa magorofa ya mafisadi. Inawezekana kabisa ila ukweli ninkuwa kuna wimbi la wasomali wahamiaji kununua nyumba za wazawa na kujenga hoteli na nyumba za kupangisha.
Sijui kama serikali ina mpango gani kuhusu hawa watu ambao sasa wamejaa mjini na kutishia amani.
Mtaa wa Livingstone kuna jengo refu la ghorofa limejaa wasomali na wala hakuna taarifa inayotolewa kuhusu wakaaji haramu. Ukitaka kupanga pale si chini ya dola 800 na wakiona u mswahili unaambiwa ni dola 2000 kwa mwezi.

Tunaomba jamani wakati wa kuandikisha kuhusu vitambulisho serikali iwe macho kwani hiki ndo kipindi cha nida, rita na watendaji wa mitaa kupokea mapesa ya hongo ili hawa watu waandikshwe kama raia na kupewa vitambulisho. Halafu

hawa wasomali ni wakatili na wenye madharau sana :help:

Nakubaliana nawe kwa kuwa wakati unaandika ulikuwa hujanywa chai na hujui mchana utakuwaje. Maisha magumu mpaka yanakimbiza busara.
 
Nasikitishwa na watanzania wanaofurahia wasomali kujenga majumba Kariakoo,kwa Mkenya
hasa wa Nairobi ukimuuliza kuhusu kero wanayoipata leo toka kwa wasomali maeneo ya Eastleigh
angepigana kuhakikisha hawa jamaa hawamilki mahali,labda kwa mtu asiyejua ukatili wa wasomali.
Wasomali wameshika eneo lote la Eastleigh na kujaza biashara zao na kulifanya lile eneo ni kama
Somalia ndani ya Nairobi,pamoja na jeuri ya askari wa Kenya lakini eneo hili wanafyata mkia.Leo
hii inasikitisha tunafurahia wasomali kujenga maghorofa Kariakoo na pesa yao chafu ya kuteka
mameli,please watanzania na serikali yetu wake up!!!!!!
 
Back
Top Bottom