njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,512
Eti kariakoo mjini!!!!! Ushamba uliokubuhu. Eneo lenyewe limejaa uswahiliswahili wa kahawa na kashata. Kwa jinsi kariakoo ilivyo na karaha kuna watu wenye uwezo wanaweza kukaa hata miaka mitano hawajakanyaga. Halafu leo eti unajivunia kariakoo mjini, ptuuuuuu!!!!!
hahahaha! nimecheka! sana! mkuuwewe utakuwa wakuja .... mijitu ya bara bana full ushamba! ... sasa kahawa imekuwa tatizo kwako! na imekuwa kunywa kahawa ni ushamba! hivi ushawahi kupiga hii kitu ..?
tembea mkuu utoe ushamba ulimwengu wa kahawa ni mwengine kabisa! utachekwa!